
TANZANIA YAPONGEZWA KUONGOZA JUHUDI ZA KUTAFUTA AMANI, SAD
::::::: Tanzania imepongezwa kwa utendaji mzuri wa kushughulikia changamoto za kiusalama katika kanda ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), baada ya kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Pongezi hizo zimetolewa Agosti 15, 2025, wakati wa Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa…