CHAN 2024: Guinea, Algeria ngoja tuone

FAINALI za CHAN 2024 zinaingia wiki ya pili leo Ijuma tangu zilipoanza rasmi Agosti 2 na zitapigwa mechi mbili za Kundi C, mapema saa 11:00 jioni Guinea itavaana an Algeria, huku usiku ni zamu ya Niger itakayoumana na Afrika Kusini kila timu ikisaka ushindi muhimu. Kundi hilo linalocheza mechi zake kwenye Uwanja wa Nelson Mandela,…

Read More

Morocco aita mashabiki Kwa Mkapa

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Mkapa, kesho Jumamosi wakati timu hiyo itakapokuwa inamalizia mechi za Kundi B dhidi ya Afrika ya Kati, huku akiahidi kuwapa raha kama alivyofanya. Stars inakamilisha ratiba kwa kuvaana na vibonde hao wa kundi hilo, kwani…

Read More

Sowah atoa msimamo Simba, akimtaja Fadlu

JANA jioni Simba ilimtambulisha rasmi beki raia wa Guinea, Naby Camara, lakini mapema mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Jonathan Sowah ametoa msimamo mzito, huku akimtaja kocha Fadlu Davids. Sowah aliyesajiliwa na Simba hivi karibuni akitokea Singida Black Stars aliyoitumikia kuanzia Januari mwaka huu aliposajiliwa kupitia dirisha dogo ambapo katika mechi 15 za mashindano yote aliifungia…

Read More

Ecua, Conte wana jambo lao maalum Yanga

KLABU ya Yanga itaanza mbio za kufukuzia ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mwezi ujao kwa kupangwa kuumana na Wiliete Benguela ya Angola inayotumikiwa na nyota wa zamani wa mabingwa hao wa Tanzania Skudu Makudubela. Katika kuhakikisha kila kitu kinakaa sawa na kuvaana na kina Skudu, mabosi wa klabu hiyo chini ya kocha Romain Folz…

Read More

Walinda amani hupata silaha za jiko kusini mwa Lebanon, kwani ukame unatishia mamilioni – maswala ya ulimwengu

Jumanne na Jumatano wiki hii, walinda amani na Kikosi cha mpito cha UN huko Lebanon (UNIFIL) waligundua vizindua vya roketi, ganda la roketi, raundi za chokaa, fusi za bomu na handaki iliyo na vifaa katika matukio tofauti katika sekta Mashariki na Magharibi, msemaji wa UN Stéphane Dujarric aliwaambia waandishi wa habari huko New York. Matokeo…

Read More