TANZANIA YAPONGEZWA KUONGOZA JUHUDI ZA KUTAFUTA AMANI, SAD

::::::: Tanzania imepongezwa kwa utendaji mzuri wa kushughulikia changamoto za kiusalama katika kanda ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), baada ya kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Pongezi hizo zimetolewa Agosti 15, 2025, wakati wa Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa…

Read More

Kilio cha wananchi kutembea masafa marefu sasa basi, vikianzishwa vituo vipya vya daladala

Unguja. Baada ya wananchi kupaza sauti zao wakilalamikia masafa marefu wanayotembea kwa kukosa vituo vidogo vya daladala kufika katika ya mji, Serikali imeweka vituo vya muda vya kushusha na kupakia wakati ukisubiriwa mpango wa muda mrefu. Katika utaratibu uliokuwapo awali, daladala zilizokuwa zikitoka nje ya mji zilitakiwa kuingia na kushusha kituo kikuu cha daladala Kikwajuni,…

Read More

SHIMIWI YAPATA UDHAMINI WA VIFAA VYA MICHEZO

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI) wamepata udhamini wa vifaa mbalimbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 5.5 kutoka kwa Mkurugenzi wa Smart Sport Bw. George Wakuganda, ambaye ni mfanyabiashara wa vifaa vya michezo wa jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa…

Read More

Sita mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya Wilson Mbise (25), mkazi wa King’ori wilayani Arumeru na kujeruhi wengine sita. Watuhumiwa hao ambao majina yao yamehifadhiwa, wanadaiwa kutenda mauaji hayo Septemba 11, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Arusha, leo Ijumaa Agosti…

Read More