Serikali yaagiza migodi ichungizwe kuepuka ajali

Shinyanga. Wakati shughuli za uokoaji zikiendelea kwenye mgodi wa Chapakazi wilayani Shinyanga ili kuwapata watu 18 walionasa ardhini, Naibu Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa ameagiza kuchunguzwa migodi yote nchini ili kuepuka majanga. Ametoa agizo hilo leo Agosti 16, 2025 alipozungumza na wananchi eneo la ajali mgodini katika Kijiji cha Mwongozo, Kata ya Mwenge, wilayani…

Read More

Stars yalazimishwa sare ya kwanza CHAN

TIMU ya taifa ‘Taifa Stars’ imelazimishwa suluhu na Afrika ya Kati kwenye mechi ya mwisho ya kundi B iliyopigwa katika  Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Stars ilishafuzu mapema robo fainali baada ya kuichapa Madagascar mabao 2-1 siku chache zilizopita kwa mabao yaliyofungwa na Clement Mzize ambaye leo hakuwa sehemu ya mchezo. Stars ambayo iliingia…

Read More

Samatta, Le Havre waanza na kipigo

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameanza vibaya Ligue 1 baada ya kikosi anachokitumikia kwa sasa Le Havre kulala kwa mabao 3-1 ikiwa ugenini mbele ya Monaco. Samatta aliyesajiliwa hivi karibuni aliingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Simon Ebonog dakika ya 58, lakini haikuisaidia kuepuka kipigo hicho kwenye…

Read More

TBL YAWEZESHA WAKULIMA WA SHAIRI MONDULI JUU KUHUSU UJUZI WA KUONGEZA NA KUBORESHA UZALISHAJI

Na Mwandishi Wetu,Monduli TANZANIA Breweries Plc (TBL), mshiriki muhimu katika mnyororo wa thamani wa kilimo nchini Tanzania, imechukua hatua madhubuti kuimarisha kilimo cha shayiri nchini kwa kukutana na wakulima wa Monduli Juu, Arusha, na kuwapatia mafunzo ya vitendo na ushauri wa kitaalamu wenye lengo la kuongeza mavuno na kuboresha ubora wa zao. Kikao hicho cha…

Read More

Musoma Vijijini yapokea Sh208 milioni mradi wa maji

Musoma. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini mkoani Mara imepokea zaidi ya Sh208 milioni kwa ajili ya ujenzi wa vituo vitano vya kuchotea maji katika vijiji vinne, mradi ambao ukikamilika unatarajiwa kupunguza changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi. Fedha hizo zimetolewa na Serikali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa…

Read More

Mtoto adaiwa kuuawa kwa jirani alikokwenda kucheza

Moshi. Mtoto wa miaka mitatu na nusu, Ivan Chuwa ameuawa kwa kukatwa shingo, mtuhumiwa akidaiwa kuwa ni kijana jirani yao kutokana na imani za kishirikina. Tukio hilo lililotokea jana Agosti 15, 2025 saa 10:00 jioni, wakati mtoto huyo akicheza kwa jirani, limezua taharuki miongoni mwa wanajamii. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha…

Read More