Mkongomani awindwa Dodoma Jiji | Mwanaspoti

BAADA ya aliyekuwa beki wa kati wa Tabora United, Mkongomani Andy Bikoko Lobuka kumaliza mkataba na kikosi hicho, mabosi wa Dodoma Jiji wamefungua mazungumzo na nyota huyo ili kuitumikia msimu ujao. Mchezaji huyo aliyejiunga na Tabora United msimu wa 2023-2024 akitokea SM Sanga Balende ya kwao DR Congo amemaliza mkataba wa miaka miwili na kikosi…

Read More

Winga Mzenji kuibukia Tanzania Prisons

KIKOSI cha Tanzania Prisons kinaendelea na maandalizi ya msimu ujao, huku kikivuta pia mastaa wapya kimyakimya ambapo kwa sasa kipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa winga wa JKU ya Zanzibar, Neva Kaboma. Awali, mchezaji huyo ilidaiwa angejiunga na Coastal Union ambayo mwanzoni ilifanya mawasiliano na waajiri wake ingawa moja ya changamoto iliyojitokeza…

Read More

Morocco: Yeyote aje tu robo fainali

KOCHA wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amejivunia ubora wa kikosi huku akisema vijana wake wana uwezo wa kushindana na timu yoyote katika hatua ya robo fainali ya michuano CHAN. Stars ilitinga robo fainali ya michuano hiyo ikiwa na mechi moja mkononi iliyokamilishwa jana Jumamosi usiku dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya…

Read More

Morocco, DRC Congo biashara mapema!

LEO Agosti 17 kuna mtanange wa kukata na shoka kwenye Uwnaja wa Nyayo jijini Nairobi kati ya timu ya taifa ya Morocco na DRC Congo kwenye Kundi A ambazo zinatafuta nafasi ya kufuzu robo fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Kwenye kundi hilo Kenya inaongoza ikiwa na pointi saba…

Read More

Vita ya namba 10 Simba, Ateba akiaga

KWENYE kikosi cha Simba imezuka vita mpya hata kabla ya kiungo mshambuliaji Neo Maema hajatua kambini na mabosi wa timu hiyo sasa wanakuna kichwa. Maema juzi alikamilisha dili lake la kujiunga na Simba akitokea Mamelodi Sundowns ukiwa ni usajili wa pili Simba wanaufanya kutoka kwenye kikosi hicho ambacho msimu uliopita kilifika fainali ya Ligi ya…

Read More

Mfaransa atoa ‘code’ ya kiungo Yanga

MFARANSA Julien Chevalier amempa maujanja kocha wa Yanga Romain Folz, jinsi ya kumtumia Celestin Ecua, huku akiwatobolea Simba siri ya Djessan Privat. Julien alikuwa kocha wa Ecua katika timu ya Asec Mimosas akimfundisha kwa kipindi cha nusu msimu – akimpokea kutoka Zoman ya hukohuko Ivory Coast. Ecua ambaye ametua Yanga akijiandaa kukichezea kikosi hicho msimu…

Read More