Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 18, 2025 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Francisco Kiswaga, kwa kile alichoeleza kuwa haki ya mashahidi wanaopaswa kulindwa bila kufanya hivyo watajukikana.
Mahakama yaamuru kesi ya Lissu isirushwe 'Live'
