Yanga, Simba zachomoa tena Kagame Cup 2025

WAKATI Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likitangaza timu 12 zitashiriki mashindano ya Kombe la Kagame 2025 zikiwemo Yanga na Simba, wakongwe hao wa soka la Tanzania wameamua kujiweka pembeni huku sababu za kufanya hivyo zikitajwa. Uamuzi wa timu hizo kujiweka pembeni umetajwa ni kutokana na ratiba kuwabana kufuatia…

Read More

Winga wa KenGold apewa mmoja Namungo

ALIYEKUWA winga wa KenGold, Herbert Lukindo amekamilisha usajili kujiunga Namungo kwa mkataba wa mwaka mmoja, huku nyota huyo akiitosa ofa ya maafande wa JKT Tanzania, ambao mwanzoni ndio iliyokuwa ya kwanza kufungua mazungumzo naye. Awali JKT Tanzania ilifungua mazungumzo na nyota huyo na kukubaliana mkataba wa miaka miwili, ingawa baada ya kuchelewa kuingiza fedha walizokubaliana,…

Read More

Sowah apishana na Yanga Dar

MABADILIKO ya kalenda ya kuwania Ngao ya Jamii yameipa pigo Simba, ambayo sasa itakutana  na Yanga bila ya mshambuliaji mpya wa kikosi hicho, Jonathan Sowah aliyesajiliwa kutoka Singida BS. Simba na Yanga zinatarajiwa kuzindua msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-2026 kwa kuvaana katika mechi ya Ngao ya Jamii iliyopangwa kupigwa Septemba 16 kwenye Uwanja…

Read More