
August 23, 2025


Utata urais wa Mpina, Msajili kuwakutanisha ACT-Wazalendo, Monalisa leo
Dar es Salaam. Sakata la urais wa Luhaga Mpina ndani ya Chama cha ACT-Wazalendo limechukua sura mpya, baada ya Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuziita mezani pande mbili zinazosigana leo Jumamosi, Agosti 23, 2025. Agosti 6, 2025, mkutano mkuu wa ACT-Wazalendo ulimchagua Mpina kuwa mtiania wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025….