Katika kikao chake kilichofanyika leo Jumamosi, Agosti 23, 2025, NEC imepitisha majina ya wagombea watakaosimama majimboni kote nchini, sambamba na wawakilishi wa viti maalum kwa makundi maalum ya kijamii.
Hii hapa orodha kamili waliopenya ubunge, uwakilishi CCM
