Naisae Yona Atwaa Taji la Miss Universe Tanzania 2025

Humphrey Shao, Michuzi tv Mrembo Naisae Yona (28) amefanikiwa kutwaa taji la Miss Universe Tanzania 2025 mara baada ya kuwashinda warembo wengine 15 waliokuwa wakichuana naye. Mashindano hayo yalifikia kilele usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Super Dome Masaki, jijini Dar es Salaam, ambapo Naisae aliibuka mshindi wa jumla na kupewa heshima ya kupeperusha…

Read More

Simba Misri pamoto! | Mwanaspoti

KUNA mambo flani yanasonga pale Msimbazi yalipo makao makuu ya Klabu ya Simba, ambapo vigogo wanapambana kuweka mambo sawa, kwani kuna mastaa ambao zipo kila dalili kwamba wanapaswa kusepa huku wengine ambao hawajaripoti wakitakiwa kutua kikosini. Kumbuka wanaotakiwa kusepa ni baadhi ya wale…

Read More

Ni Sudan, Madagascar nusu fainali CHAN Kwa Mkwapa

BAADA ya kushindwa kupata mshindi ndani ya dakika 120, Sudan na Algeria zimelazimika kwenda katika changamoto ya mikwaju ya penalti ili kuamua mshindi wa mechi na hatimaye Sudan kuibuka kwa penalti 3-2. Katika mchezo huo wa robo fainali ya CHAN uliopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar dakika 90 zimemalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu…

Read More