August 25, 2025
TRA YAZINDUA YAZINDUA MFUMO MPYA WA MAKUSANYO YA MAPATO
Na.VERO IGNATUS ARUSHA Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imezindua mfumo wa maarifa (knowledge management system) unaolenga kuongeza ufanisi,uwazi,na weledi katika ukusanyaji wa mapato ,sambamba na kuboresha huduma kwa walipa kodi katika mazingira ya sasa ya biashara yenye ushindani mkubwa yanayochochewa na teknolojia na utandawazi. Yusuphu Mwenda ni Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
UDOM YAKUTANA NA WADAU KUCHAMBUA NAFASI YA AKILI UNDE KATIKA UTAWALA BORA
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodoma chuoni hapo kwenye warsha maalumu inayolenga kuchambua nafasi ya akili unde katika kuimarisha misingi ya utawala bora nchini. Akizungumza mara baada ya kufungua warsha hiyo leo Agosti 25,2025 Naibu Makamu Mkuu…
KEMBAKI- SITABOMOA NYUMBA NILIYOIJENGA, NITASHIRIKIANA NA CCM KWA MOYO WOTE
Na Janeth Raphael MichuziTv- Dodoma. Aliyekuwa Mbunge wa Tarime Mjini na Mtia Nia wa nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mwaka huu 2025 Michael Kembaki, amevunja ukimya baada ya jina lake kutoonekana katika orodha ya wagombea walioteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Kembaki, ambaye katika mchakato…
12 mbaroni tuhuma za kujeruhi, kupora Sh20 milioni Same
Same. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu 12 kwa tuhuma za kumjeruhi na kumpora Sh20 milioni, mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Yusto Mapande. Tukio la kujeruhiwa kwa mwenyekiti huyo lilitokea Agosti 21, 2025 wakati akingia nyumbani kwake baada ya kutoka kwenye shughuli zake za biashara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon…
LOOT Legends, Ushindi wa TZS 1.5 Bilioni Unakungojea
HUU sio mchezo wa kawaida. Kuanzia Juni 30, 2025, wachezaji wote wa Meridianbet wamekua wakishindana kwenye promosheni kubwa ya LOOT Legends kuwania sehemu ya zawadi kubwa zaidi nchini TZS 1.5 bilioni na mashindano haya yataendelea kurindima mpaka Septemba 7, 2025. Jinsi ya kushiriki kwenye promosheni hii ni rahisi sana. Kwanza hakikisha umejisajili kwenye mashindano ya…
MWANDISHI MKONGWE WA HABARI SAID NJUKI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE ARUSHA MJINI KUPITIA ACT-WAZALENDO
Na Pamela Mollel, Arusha. Zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi ya ubunge nchini linaendelea kushuhudia sura mpya na za kuvutia, ambapo leo Jumatatu, Agosti 25, 2025, mwandishi wa habari mkongwe, Said Salim Njuki, amejitokeza rasmi kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Njuki alifika mapema katika…
Kuendeshwa na njaa huko Gaza, amputees ni sehemu ya uharibifu wa dhamana – maswala ya ulimwengu
“Nilikuwa nitanunua Falafel,” anasema Mohammed Hassan. “Nikiwa njiani kurudi nyumbani, niliangalia juu na nikaona roketi ikinielekea. Nilijaribu kukimbia, lakini ilikuwa haraka sana. Nilijikuta nikibandika ukutani, na mguu wangu ulikuwa umepigwa.” Aliletwa katika Hospitali ya Al-Shifa huko Gaza City, kijana huyo mchanga hutazama mguu wake wa kushoto sana, na kisiki ambacho mguu wake ulikuwa. Katika eneo…
Nafasi ya Kuondoka na Ushindi Iko Hapa
BAADA ya kushuhudia mechi kibao za ligi wikendi zikichuana vikali, sasa ni zamu ya kutusua kijanja na Meridianbet siku ya Jumatatu. Timu kibao zipo uwanjani leo. Je beti yako unaiweka wapi leo? EPL pale Uingereza kuendelea kwa mechi moja kali kabisa kati ya Newcastle United vs Liverpool ya Arne Slot. Meridianbet wanampa Liver nafasi kubwa…
BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.
::::::: Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Ndugu Alloys Simba Maira, amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Innocent Bashungwa, leo tarehe 25 Agosti 2025 katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jimbo la Karagwe mkoani Kagera. Makabidhiano hayo ni sehemu…