CHAN 2024: Sudan, Algeria vita ilikuwa kati

WANAUME 22 kutoka Sudan na Algeria, walizimwagilia vizuri nyasi za Uwanja wa Amaan Complex, visiwani Zanzibar katika mchezo wa robo fainali wa michuano ya CHAN uliopigwa juzi. Katika mchezo huo ambao dakika 120 zilimalizika kwa timu zote kutoshana nguvu ya kufungana bao 1-1, vita kubwa ilionekana eneo la kati ambalo kwa kiasi kikubwa liliamua mechi…

Read More

Watano Yanga wapewa siku saba

KAMBI ya Yanga imezidi kunoga kule Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam, lakini jana ilikuwa katika mapumziko flani mafupi na kazi itaendelea leo Jumatatu, huku kocha wa timu hiyo, Romain Folz akitoa msimamo mzito ambao mabosi wa klabu wameafikiana nayo. Yanga iliamua kuahirisha…

Read More

Jinsi vitendo vya huruma vinavyowasha njia ya uponyaji – maswala ya ulimwengu

Safari yake katika kazi ya kibinadamu ilianza baada ya miaka ya kutumikia hospitalini huko Aden, ambapo alishuhudia mwenyewe mapambano ambayo jamii zilizo hatarini zinakabili katika kupata huduma za afya. “Katika Aden, nilifanya kazi katika hospitali ya kibinafsi,” alikumbuka. “Niligundua kuwa watu wengi hawawezi kumudu matibabu. Ukweli huo ulinisukuma kutafuta njia ya kusaidia wale waliobaki.” Aliamua…

Read More