
Trump atangaza adhabu kali wanaodhalilisha bendera ya Marekani
Dar es Salaam. Rais wa Marekani, Donald Trump ametia saini amri ya kiutendaji (Executive Order), inayopiga marufuku kitendo cha kuchoma bendera ya nchi hiyo, akisema yeyote atakayefanya hivyo atakwenda jela mwaka mmoja bila msamaha. Kwa mujibu wa CBS News, Al Jazeera na tovuti rasmi ya The White House wanaochoma bendera watafungwa mwaka mmoja na kuwekewa…