NIKWAMBIE MAMA: Malalamiko haya yamalizwe mapema

Malalamiko ni silika ya kawaida kwa mwanadamu yeyote. Pale anapoguswa na hali isiyompendeza, mtu hataacha kulalamika hata iwe kwenye mambo madogo kiasi gani. Mmoja atalalamikia uhuru na haki zake, lakini mwingine atalalamika hata aking’atwa na mbu. Wataalamu wanasema malalamiko ni dawa ya kuepusha msongo, ni mbaya sana kuishi na vijiba rohoni. Malalamiko yanataka kufanana kidogo…

Read More

Fyatu ‘kuchangisha’ matrilioni ya kampeni

Japo mie na chata letu tumepiga njuluku za mafyatu hata kabla ya dunia kuumbwa, lazima tuzidi kuwafyatua ili wasitufyatue. Hakuna wakati mzuri wa kufyatua njuluku za mafyatu hasa wale mafisi na mafisadi kama huu. Kwa vile huu ni wakati wa kupika kura ya kula, lazima wasaka kura ya kula waliwe na wapika kura ya kula….

Read More

Israeli yaua wanajeshi sita wa Syria

Maofisa sita wa Jeshi la Syria wameuawa katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za Israel kusini mwa Damascus, kituo cha televisheni ya Serikali ya Syria, El Ekhbariyaimeripoti. Mashambulizi hayo yamefanyika ikiwa ni siku moja baada ya Syria kulaani kile ilichokiita “uvamizi wa kijeshi” mpya wa Israel, nje ya mji mkuu Damascus. Ndege zisizo na…

Read More

UN inataka uchunguzi kufuatia mgomo mbaya katika Hospitali ya Nasser – Maswala ya Ulimwenguni

Angalau watu 20 waliuawa, pamoja na wafanyikazi wanne wa afya na waandishi wa habari watano, WHO Mkurugenzi Mkuu Tedros Adhanom Gebreyesus Alisema Katika tweet. Watu wengine hamsini walijeruhiwa, pamoja na wagonjwa wagonjwa ambao walikuwa tayari wanapata huduma. Huduma ya afya chini ya shambulio “Wakati watu huko Gaza wanakuwa na njaa, ufikiaji wao tayari wa huduma…

Read More

Vita ya kudanki Ligi ya Kikapu Dar imehamia huku

WAKATI robo fainali ya kwanza ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikianza, ushindani umeongezeka tofauti na mechi za mwanzo wa msimu wa mashindano hayo. Robo fainali ya BDL imezoeleka ushindani kuwa wa kawaida, lakini mwaka huu inavyochezwa ni vita na ni kama kombe liko uwanjani. Ally Issa, kocha wa kikapu kutoka…

Read More

Gamondi kuitumia Kagame kunoa makali CAF

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema mashindano ya Kagame yatamsaidia kuandaa timu shindani kuelekea mechi za ligi na kimataifa. Akizungumza na Mwanaspoti, Gamondi alisema anafurahishwa na mwenendo wa maandalizi huku akidai kuwa wachezaji wake wapo kwenye hali nzuri ya ushindani matarajio yao ni makubwa. “Timu inaendelea vizuri licha ya kwamba sio wachezaji…

Read More

Msuva adai CHAN 2024 ina darasa kali

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ambaye anacheza soka la kulipwa nchini Iraq katika kikosi cha Al-Talaba SC, ameeleza kuwa mashindano ya CHAN 2024 yataacha somo kubwa kwa soka la Tanzania, ambalo linaweza kuwa msingi wa mafanikio katika mashindano yajayo. Msuva ambaye kabla ya mchezo wa ufunguzi kati ya Taifa Stars dhidi ya Burkina…

Read More

Mambo matatu ya kitasa kipya Yanga

Kuna mambo yataanza kuonekana msimu ujao pale Jangwani, ambapo mastaa kibao wamesajili na kuna dalili kwamba vita ya namba, lakini namna shoo za uwanjani zitakavyokuwa. Lakini, unaposoka hapa elewa kwamba ndani ya kikosi cha Yanga kuna nyota wawili wanaounda ule ukuta wa chuma…

Read More