Kocha Abdul Saleh amrithi Mngazija Uhamiaji FC

KIKOSI cha Uhamiaji FC kimemtambulisha Abdul Saleh Mohammed kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukua nafasi ya Ali Bakar Mngazija. Mngazija ambaye ametimkia Coastal Union ya Tanga, aliitumikia Uhamiaji FC kwa msimu mmoja pekee wa 2024-2025 ambapo timu hito ilimaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar. Mbali na kufanya maboresho ya benchi la…

Read More

SAMIA SCHOLARSHIP YACHOCHEA UBUNIFU WA KISASA NELSON MANDELA, TAASISI YAANZA KUONA MATUNDA

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, Prof. Maulilio Kipanyula, akisoma hotuba wakati wa Mahafali ya 11 yaliyofanyika Agosti 28, 2025, ambapo jumla ya wahitimu 111 walitunukiwa shahada mbalimbali za Umahiri na Uzamivu. …… TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imejivunia kutimiza malengo matano…

Read More

Uzinduzi Simba Day waleta shangwe Mafinga

Mashabiki na wa wananchama wa Simba Tawi la Mafinga na maeneo mbalimbali nje ya Mkoa wa Iringa, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uzinduzi wa Wiki ya Simba Day  unaotarajiwa kufanyika Agosti 30, 2025, wilayani Mufindi mkoani hapa, huku fursa ya kiuchumi ikitajwa kuwanufaisha. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 28, 2025 na Mwenyekiti wa Tawi…

Read More

Singapore na Tanzania zakubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

………….. Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake.   Makubaliano hayo ambayo yatatekelezwa kupitia Programu ya Ushirikiano wa Singapore (Singapore Cooperation Program), yamefikiwa…

Read More

Mahakama Kenya yazuia ujenzi wa kanisa Ikulu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, nchini humo. Agizo hilo la muda pia linazuia ujenzi kama huo katika Ikulu za Rais zilizoko maeneo mbalimbali nchini au hata jengo lolote lenye mafungamano na dini. Kwa mujibu wa…

Read More

WATALAAMU WA UFUATILIAJI NA TATHMINI WIZARA YA MALIASILI WAHIMIZWA KUWA KIDIGITALI

…………….. Na Sixmund Begashe, Dodoma Wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Wizara ya Maliasili na Utalii wametakiwa kuzingatia matumizi ya mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuongeza ufanisi katika uchakataji, uhifadhi na upatikanaji wa taarifa kwa wakati. Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini wa Wizara…

Read More

BHOJANI AMWOMBEA KURA RAIS DK.SAMIA KISUTU

MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kisutu, Tousif Bhojani, amewataka wananchi wa kata hiyo kumpa kura za kishindo  mgombea urais kwa kitekiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa Okotoba 29 mwaka huu.  Ameyasema hayo Dar es Salaam, leo baada ya kurejesha fomu ya uteuzi wa  udiwani katika Ofisi…

Read More