
Sita wakamatwa tuhuma za rushwa, mgombea ubunge atimka
Tabora. Watu sita wanashikiliwa na vyombo vya usalama Mkoa wa Tabora wakidaiwa kupokea rushwa kutoka kwa mmoja wa wagombea ubunge wa Nzega Mjini mkoani humo, huku wengine 40 wakisakwa akiwemo mgombea husika. Mgombea huyo wa ubunge ambaye jina limehifadhiwa amekimbia na kutelekeza gari katika Mtaa wa Musoma wilayani Nzega Mkoa wa Tabora ambapo ukaguzi uliofanywa…