Mgambo waaswa kuwa nguzo ya kulinda amani

Morogoro. Askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) kundi la 64/2025 wametakiwa kuchukia na kupinga vitendo vyote vyenye dalili za kuhatarisha amani ya Taifa, huku wakiwa mstari wa mbele kuhubiri mshikamano wa kitaifa. Akizungumza leo Agosti 18, 2025 kwenye hafla ya kuhitimisha mafunzo hayo yaliyoshirikisha wahitimu 89, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala amesema vijana…

Read More

Fadlu ni kazi tu huko Misri

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amesema mazoezi anayoendelea kuyatoa katika kambi iliyopo nchini Misri yatampa picha ya wachezaji atakaoendelea kusalia nao na wale ambao watapewa mkono wa kwaheri. Fadlu ameliambia Mwanaspoti kwamba, bado hawajafunga usajili na endapo kukitokea mahitaji ya kutaka wachezaji wengine watafanya hivyo na kuachana na wale ambao hawaoni umuhimu wa kuendelea nao…

Read More

Sababu kupandishwa hadhi mabaraza haya Zanzibar

Unguja. Miradi  ya maendeleo, kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi, kuchangia asilimia 10 za kuwawezesha wajasiriamali, ongezeko la mapato na kutekeleza miradi ni miongoni mwa sababu za kupandishwa hadhi ya Baraza la Mji Kati na Halmashauri ya Wilaya Kusini  kuwa Manispaa na Baraza la Mji. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Agosti 18,2025 katika hafla ya kukabidhi hati…

Read More

Ali Kamwe amjaza upepo Kagoma kuwatuliza Wamorocco

OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema katika jezi yake ataandika jina la kiungo wa Taifa Stars, Yusuph Kagoma ili kumhamasisha afanye vizuri mechi ya robo fainali dhidi ya Morocco kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Agosti 22 mwaka huu, Taifa Stars itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar kumenyana…

Read More

Rajoelina Mwenyekiti mpya wa SADC, Rais Samia apongezwa

Dar es Salaam. Mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umemchagua Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina kuwa Mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo, huku Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa akichaguliwa kuwa mwenyekiti atakayefuata. Mkutano huo umemchagua Rais wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa,…

Read More

CHAN 2024: Benni McCarthy aipiga kijembe Taifa Stars

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy ametoa kauli inayoonekana kama ni kijembe kwa Taifa Stars ya Tanzania, huku akisisitiza wanapaswa kujipanga kikamilifu kwa mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 dhidi ya Morocco ambayo wao waliifunga katika makundi. Kenya iliibuka kinara wa Kundi A lililojulikana kama ‘kundi la kifo’ ambalo pia lilihusisha Morocco na…

Read More

DKT. KIMAMBO AWATAKA WATAALAM WA AFYA MUHIMBILI KUFUATA MIONGOZO YA KITAIFA NA KIMATAIFA KATIKA UTOAJI HUDUMA ZA DAMU

 :::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Dkt. Delilah Kimambo amewataka wataalam wa afya kuendelea kufuatilia miongozo ya kitaifa na kimataifa katika utoaji wa huduma za damu ili kupunguza hatari zinazoweza kujitokeza kwa wagonjwa wanaofika Hospitalini hapo. Akizungumza hii leo Jijini Dar es Salaam kwenye ufunguzi wa mafunzo yanayolenga kujadili na kuelewa madhara yanayoweza kujitokeza…

Read More