CHAN 2024: Mechi 32 mabao 66, Mmoroco akimbiza

KABLA ya mechi mbili za jana za Kundi C, rekodi zilikuwa zikionyesha jumla ya mabao 66 yametinga wavuni kupitia mechi 32, huku mshambuliaji Oussama Lamlioui akiongoza orodha ya wafungaji akiwaburuza wachezaji wa timu nyingine 18 zinazoshiriki CHAN 2024. Michuano hiyo ya CHAN ilianza rasmi Agosti 2 na inatarajiwa kufikia tamati Agosti 30 na bingwa atafahamika,…

Read More

TRA YAZINDUA DAWATI LA KUWEZESHA BIASHARA NCHINI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi dawati maalum la kuwezesha biashara nchini (Trade Facilitation Desk) litakalokuwa na jukumu la kusimamia ustawi wa biashara kwa nchi nzima. Uzinduzi huo umefanywa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda katika Soko Kuu la Chifu Kingalu mjini Morogoro tarehe 16 Agosti 2025 ikiwa ni sehemu ya…

Read More

Serikali yafurahishwa na taaluma St Anne Marie Academy he

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imempongeza Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, Dk Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa ambao ameufanya kwenye sekta ya elimu. Pia imeipongeza shule hiyo kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka katika mitihani ya kitaifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa…

Read More

Sababu mahakama kuzuia matangazo ‘live’ kesi ya Lissu‎

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru maelezo ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kusomwa huku ikirushwa mubashara kama ambavyo kesi hiyo imekuwa ikifanyika. Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu,…

Read More

Sababu mahakama kazuia matangazo ‘live’ kesi ya Lissu‎

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru maelezo ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kusomwa huku ikirushwa mubashara kama ambavyo kesi hiyo imekuwa ikifanyika. Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu,…

Read More