10 mbaroni wakidaiwa kupanga njama za uhalifu

Kibaha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watu 10 wanaodaiwa kupanga njama za kufanya uhalifu katika Wilaya ya Kibaha, kufuatia taarifa za kiintelijensia zilizopatikana Jumamosi Agosti 16, 2025. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase leo Jumatatu Agosti 18, 2025, hatua hiyo ilichukuliwa baada ya jeshi hilo kupata fununu za…

Read More

Kutoka biashara ya mkaa hadi kuhamasisha nishati safi

Morogoro. Katika Kijiji cha Ngerengere, wilayani Morogoro, anaishi Ally Mikola (76),  kwa  zaidi ya miaka 20, alikuwa mfanyabiashara wa mkaa, akiupeleka Dar es Salaam na maeneo mengine kwa ajili ya kujipatia kipato. Siku hizi, badala ya kuendelea na biashara hiyo, anahamasisha wananchi kutumia nishati safi na mkaa mbadala ili kulinda misitu na afya ya jamii….

Read More

PUGU WAVUNJA MAKUNDI YA UDIWANI

HATIMAYE makundi ya watia nia wa kiti cha udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Pugu wilayani Ilala,jijini Dar es Salaam yamevunjwa rasmi leo kwa watia nia ambao kura za maoni hazikutosha kumuunga mkono mgombea Udiwani wa kata hiyo Frank Mang’ati. Mkutano Chama wa kuvunja makundi hayo umefanyika leo ambapo ulihudhuriwa na aliyekuwa Diwani…

Read More

Mlandege yamnasa straika kutoka Ghana

KATIKA kuhakikisha inakuwa na timu ya ushindani kimataifa, mabosi wao Mlandege  wamemshusha  mshambuliaji, Ishmael Robino kutoka Ghana. Robino amejiunga na timu hiyo akiwa mchezaji huru na tayari ameungana na wenzake katika kambi ya mazoezi ya kujiandaa na mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa Mlandege, Hassan Ramadhan Hamis alisema mshambuliaji huyo…

Read More

Standard Chartered Strengthens Client Partnerships through ‘Ops to Ops’

Standard Chartered Tanzania hosted its signature Ops to Ops (O2O) event, bringing together the Bank’s operations teams and clients’ operations staff for an interactive session focused on collaboration, feedback, and co-creation. Designed for the engine room of both organisations — the teams who process transactions daily — O2O fosters stronger working relationships, improves efficiency, and…

Read More

Pogba aichomolea Tabora United, kuendelea kukipiga Mlandege

LICHA ya kusaini mkataba wa miaka miwili ili aitumikie Tabora United, kiungo mshambuliaji wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’ ameendelea kuitumikia timu hiyo iliyopo kambini. Ipo hivi. Pogba aliyekuwa akihusishwa na Simba kabla ya mpango kufa baada ya Wekundu hao kumnasa Daud Semfuko kutoka Coastal Union, aliibukia  Tabora na kufanikiwa kusaini mkataba kabisa. Hata hivyo, mapema…

Read More

Bhojan achukua fomu aahidi Kisutu mpya

MGOMBEA wa nafasi ya udiwani wa Kata ya Kisutu, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam, Tousif Bhojani, amechukua fomu za uteuzi za Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na kueleza kuwa dhamira yaya ni kuijenga Kisutu mpya. Bhojani alichukua fomu leo katika Ofisi za Ofisa Mtendaji Kata ya Kisutu, ambapo alikabidhiwa fomu hizo na Ofisa Mtendaji…

Read More

Maandalizi ya CAF, KMKM yabeba kocha mpya

WAWAKILISHI wa Zanzibar katika Kombe la Shirikisho Afrika, KMKM imemnyakua kocha mpya kutoka Dar ili kujiweka tayari kwa pambano dhidi ya As Port ya Djibouti. Mabingwa hao wa Kombe la ZFF, imemuongeza kikosini kocha wa kituo cha JK Park cha jijini Dar es Salaam, Hababuu Ali kulisaidia benchi la ufundi la timu hiyo. KMKM imepata…

Read More