Aisha Masaka kutimkia Hispania | Mwanaspoti

Mshambuliaji wa Brighton, Aisha Masaka huenda akatolewa kwa mkopo au kuuzwa moja kwa moja katika moja ya timu za Ligi Kuu ya Wanawake Hispania msimu ujao kama watafikia makubaliano ya ofa. Mwanaspoti inafahamu mshambuliaji huyo wa timu ya taifa, Twiga Stars, amebakiza mkataba wa mwaka mmoja England kati ya miwili na utamalizika mwishoni mwa msimu…

Read More

Baresi avunja ukimya, apanga mkakati Mlandege

SIKU moja baada ya kutua Mlandege, kocha wa Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema wana kazi kubwa ya kufanya kuipambania timu hiyo kufanya vizuri kimataifa. Baresi amejiunga na timu hiyo akiwa kocha huru baada ya kuachana na Mashujaa inayoshiriki Ligi Kuu Bara, akizungumza na Mwanaspoti alisema anayo furaha kujiunga na timu hiyo, lakini ana kazi kubwa ya…

Read More

‎Hatima kifungo Chadema leo, Lissu akisomewa ushahidi wa uhaini

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kikitarajia kusomewa uamuzi wa maombi yao ya kufunguliwa kifungo cha zuio la kufanya shughuli za kisiasa na kutumia mali zake, Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu anatarajiwa kusomewa ushahidi wa kesi ya uhaini inayomkabili. ‎Matukio hayo mawili yanatarajiwa kufanyika leo, Agosti 18, 2025 kutokana na kesi…

Read More

Mudrick Mohamed ajipanga upya Uturuki

BEKI wa Mersin inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Mudrick Mohamed amesema malengo makubwa ya timu hiyo msimu huu ni kunyakua ubingwa utakaowawezesha kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nyota huyo alicheza ligi ya Uturuki baada ya timu hiyo kumtazama katika mashindano ya Kombe la Dunia yaliyofanyika nchini humo na kufanya vizuri. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Daruweshi achekelea kambi ya visiwani

MSHAMBULIAJI wa KMC, Daruwesh Saliboko ameshindwa kujizuia na kufunguka namna alivyofurahia kambi ya maandalizi ya msimu mpya kwa timu hiyo iliyokuwa visiwani Zanzibar, anaamini imewajenga vyema kwa kuanza msimu mpya kivingine. KMC ilikuwa imejichimbia Zanzibar tangu wiki iliyopita kabla ya jana kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa FA wa visiwani hivyo, KMKM na…

Read More

Taifa Stars ilistahili robo, ikikomaa inatioboa

KIKOSI cha Taifa Stars kimeandika historia mpya katika michuano ya CHAN 2024, baada ya kumaliza kileleni mwa kundi B kikiwa na pointi 10 kati ya 12, sawa na asilimia 83.33 ya pointi zote. Suluhu dhidi ya Afrika ya Kati ilitosha kwa vijana hao wa Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuweka rekodi hiyo ya kibabe kwa mara ya…

Read More

CHAN 2024: Uganda, Sauzi mmoja anatoka

BAADA ya makundi A na B kumaliza kazi na kutoa timu nne za kucheza hatua ya robo fainali, leo Jumatatu ni zamu ya Kundi C, huku wenyeji Uganda wakiwa na kibarua kizito mbele ya Afrika Kusini, kwani timu mojawapo ikizembea baada ya dakika 90 itaiaga michuano hiyo. Uganda na Afrika Kusini zinatarajiwa kuvaana katika mechi…

Read More

Kisa straika wa mabao, MO Dewji awavimbia Waarabu

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua jijini Cairo, Misri, lakini unaambiwa tangu juzi mabosi wa klabu hiyo wamekuwa katika hesabu kubwa za mwisho ya kushusha mashine nyingine mpya ili kuimarisha kikosi hicho. Inadaiwa kuwa, mabosi wa Simba walivutiwa waya na Kocha Fadlu Davids akitaka aongezee mashine nyingine mpya ya kucheka na nyavu na fasta kupitia bilionea…

Read More