Azam kutesti mitambo ya CAF mapemaa

KIKOSI cha Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC kipo Kigali, Rwanda kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026 na kuanzia Jumanne ijayo itakuwa na kazi moja ya kutesti mitambo kwa ajili ya mechi za kimataifa. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu Bara 2013-2014, ilianza…

Read More

Mpishi wa Bahraini huinuka na mafanikio matamu, ya viungo – maswala ya ulimwengu

Kile kilichoanza kama furaha rahisi ya kutengeneza kuki kwa familia na marafiki hivi karibuni zilitoka kwenye sukari ya kahawia, chapa ambayo inajumuisha upendo wake kwa dessert na safari yake kuelekea uhuru. “Nilikuwa napenda kula pipi,” Eman Fareed, mama na mtumishi wa umma aliyestaafu, aliambia Habari za UN wakati akioka jikoni yake. “Mwanzoni, nilioka biskuti kwa…

Read More

Fahmar Santos nje miezi tisa

Kinda wa Kitanzania anayekipiga Ceu Ciutat Meridiana ya Hispania, Fahmar Santos amesema ripoti ya daktari inaeleza atakaa nje ya uwanja kwa takribani miezi tisa sawa na msimu mzima, baada ya kufanyiwa operesheni ya goti la mguu wa kulia. Mwishoni mwa msimu huu, kinda huyo (21) alipata jeraha la goti na Jumamosi, Agosti 8 mwaka huu,…

Read More

Morocco yaifuata Taifa Stars Kwa Mkapa

USHINDI wa mabao 3-1 iliyopata Morocco mbele ya DR Congo, imewafanya mabingwa hao mara mbili wa michuano ya CHAN kufunga safari kuifuata Tanzania katika mechi ya robo fainali ya michuano ya msimu huu inayofanyika katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Wenyeji wa Kundi A, Kenya yenyewe imesalia jijini Nairobi baada ya kuongoza msimamo kutokana…

Read More

Wadau wa kilimo Ikolojia wakutana kujadili biashara mpakani

Arusha. Wadau mbalimbali wa kilimo ikolojia wamekutana jiji Arusha kujadiliana biashara ya mipakani ya mazao ya kilimo ikolojia ili kuainisha changamoto na kuangalia namna ya kukabiliana nazo ili kukuza kilimo hicho. Wadau hao kutoka wizara mbalimbali hapa nchini, sekta binafsi na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamekutana kuangalia namna ya kusimamia biashara za kikanda ikiwamo…

Read More

Ramadhan Kapera, Polisi Tanzania kuna jambo

POLISI Tanzania imeanza mazungumzo ya kumrejesha aliyekuwa mshambuliaji wa kikosi hicho, Ramadhan Kapera baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake na TMA ya Arusha, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mpya. Mchezaji huyo aliyetamba na timu za Mbeya Kwanza, Geita Gold, KMC na Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars inaelezwa ni pendekezo la…

Read More

Wananchi watahadharisha mradi wa magadi soda Ziwa Natron

Arusha. Taharuki imeibuka kwa wananchi kufuatia mpango wa kuanzishwa mradi mpya wa uchimbaji magadi soda ndani ya Ziwa Natron lililohifadhiwa kutokana na upekee wake duniani wa kuwa mazalia ya ndege aina ya flamingo. Mpango huo unaotaka kutekelezwa na Kampuni ya Ngaresero Valley, ambapo  inadaiwa kutaka kujengwa kiwanda cha kuchakata magadi soda kandokando ya ziwa hilo,…

Read More

Mafuriko yaua zaidi ya watu 300 Pakistan

Peshawar. Zaidi ya watu 300 wamefariki dunia nchini Pakistan kufuatia mafuriko makubwa yaliyokumba maeneo mbalimbali kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Mafuriko hayo yamesababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo katika maeneo ya milimani ya jimbo la Khyber Pakhtunkhwa, na kusababisha vifo vingi pamoja na uharibifu mkubwa wa mali za watu. Kwa mujibu wa…

Read More