Kilio cha watumiaji barabara ya Kilwa, Serikali yatoa kauli

Dar es Salaam. Ikiwa imepita miezi mitano tangu kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kilwa, kipande kutoka Mbagala hadi Kongowe, watumiaji wa barabara hiyo wamelalamikia adha wanayokutana nayo, kwa kile wanachoeleza kuwa imeelemewa na wingi wa magari kuliko uwezo wake. Machi 19, 2025, Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Dar es Salaam…

Read More

Ussi: Walimu, madaktari waheshimiwe kazi yao ngumu

Musoma. Watanzania wametakiwa kuwaheshimu na kuwathamini walimu na madaktari nchini kwa maelezo kuwa kazi zao ni ngumu pia zinahitaji moyo wa upendo, utu, uzalendo na kujitolea ili kutimiza wajibu na majukumu yao. Wito huo umetolewa mjini Musoma leo Jumapili Agosti 17,2025 na Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ismail Ussi wakati wa uzinduzi…

Read More

Kilimanjaro ya Sweden yatwaa ubingwa wa bonanza Ubelgiji

TIMU ya soka ya Watanzania, Kilimanjaro iliyopo Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa Kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika kati ya Agosti 15-16 jijini Antwerp, Ubelgiji. Kilimanjaro ilitetea ubingwa huo baada ya kuifunga timu nyingine ya Watanzania kutoka Uingereza iitwayo Leeds Swahili kwa mabao 2-1 katika mchezo mkali wa…

Read More

TRA YAZINDUA DAWATI LA KUWEZESHA BIASHARA NCHI

::::::::::: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi dawati maalum la kuwezesha biashara nchini (Trade Facilitation Desk) litakalokuwa na jukumu la kusimamia ustawi wa biashara kwa nchi nzima. Uzinduzi huo, umefanyika katika Soko Kuu la Chifu Kingalu mjini Morogoro tarehe 16 Agosti 2026 ikiwa ni sehemu ya kutekeleza maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Read More

Mabaki ya mifugo iliyochinjwa yanavyogeuka kitoweo Dar

Dar es Salaam. Katika jiji la kibiashara la Dar es Salaam, karibu kila sehemu ya kuku, mbuzi au ng’ombe sasa imekuwa fursa ya biashara na mlo. Kuanzia miguu, utumbo, vichwa, ashua, matiti ya ng’ombe, kongosho na hata ngozi, sehemu za mifugo ambazo zamani zilikuwa zikitupwa, sasa zinauzwa kwa wingi kwenye vibanda vya barabarani, hasa katika…

Read More

CHAN 2024: Burkina Faso hawana wa kumlaumu

KOCHA wa Burkina Faso, Issa Balbone amesema hawana wa kumlaumu kupoteza mechi ya mwisho ya kundi dhidi ya Madagascar kwa vile timu hiyo ilikuwa na kila sababu ya kushinda kutokana na nafasi nyingi za kufunga walizopata, lakini umakini mdogo wa wachezaji ndani ya 18 uliwaangusha. Burkina Faso iliyoanga michuano hiyo kwa kukusanya pointi tatu tu…

Read More