Vigogo Ulaya, Zelensky uso kwa uso na Trump Jumatatu

Dar es Salaam. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema anapanga kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump mjini Washington kesho Jumatatu baada ya mkutano wa kiongozi huyo wa Marekani na mwenzake wa Russia, Vladimir Putin huko Alaska. Hata hivyo jana Zelensky alifanya mazungumzo ya muda mrefu na Trump baada ya kiongozi huyo wa Marekani kukutana…

Read More

CHAN 2024: Kipa Madagascar achekelea robo fainali

BAADA ya kuisaidia timu yake kutinga hatua ya robo fainali Michuano ya CHAN na akiibuka mchezaji bora, kipa wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa ametaja siri ya timu yake kutinga hatua hiyo ni kumsoma mpinzani na kujiandaa vyema. Madagascar imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga Burkina Faso mabao 2-1, huku Ramandimbozwa akiitwaa tuzo ya pili ya nyota…

Read More

Mastaa waliovuja jasho zaidi Taifa Stars

KATIKA mechi nne za hatua ya makundi ya mashindano ya CHAN 2024 ambayo yanaendelea ukanda wa Afrika Mashariki, ni wachezaji wanne tu wa Taifa Stars ambao wamevuja jasho zaidi kwa kucheza kila dakika ya mechi hizo. Wachezaji hao ambao ni kipa, Yakoub Suleiman, mabeki wa kati, Dickson Job, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ na kiungo, Feisal Salum…

Read More

Morocco kujifungia na washambuliaji Stars

KOCHA wa Taifa Stars,  Hemed Suleiman ‘Morocco’, amesema mechi ya jana usiku dhidi ya Afrika ya Kati ilikuwa ni kama darasa kwa wachezaji wa kikosi hicho, akibainisha wamepata somo ambalo anaamini litawasaidia katika maandalizi ya mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024. Taifa Stars ilimaliza mechi za makundi kwa suluhu dhidi ya Afrika…

Read More

Kocha Maximo kutesti mitambo kwa Mabaharia wa KMKM

BAADA ya kambi ya wiki moja kisiwani Zanzibar,  kikosi cha KMC chini ya kocha Mbrazili, Marcio Maximo jioni ya leo Jumapili kinatarajia kujipima nguvu na mabingwa wa Kombe la Shirikisho (ZFF), KMKM kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja. KMC ipo Zanzibar kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano ya 2025-2026…

Read More

Mke wa mpenzi wangu ananitishia maisha

Nipo kwenye uhusiano na mume wa mtu kwa miaka mitano sasa. Katika huo uhusiano nimemsaidia sana mpenzi wangu kiakili na hata mipango,hadi amejenga nyumba anayoishi na familia yake na kusomesha watoto katika shule nzuri. Nimemwingiza kwenye biashara na kumkutanisha na wafanyabiashara wakubwa kwa sababu mimi tangu kitambo ninafanya biashara ya mazao. Kwa kweli nimemsaidia sana…

Read More

UJENZI BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU KWA UWEZESHAJI WA MIGODI YA BARRICK NI MFANO WA UWEKEZAJI BORA SEKTA YA MADINI NCHINI

Mnamo mwezi Machi mwaka jana wakati Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) iliposaini mkataba wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami ya Kahama-Bulyanhulu JCT- Kakola yenye kilomita 73 na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation kwa ufadhili wa Barrick wa gharama ya shilingi bilioni 101.2 , ilikuwa ni faraja kubwa kwa watumiaji…

Read More

Maajabu ya kunusa jasho la mwenza wako

Mkazi wa jijini Mwanza, Pendo Zephania anasema miongoni mwa vitu anavyopenda kufanya kwa mwenza wake, ni kumlalia ubavuni karibu na eneo la kwapa, huku akisema anavutiwa na harufu ya eneo hilo anayodai inampa utulivu, amani na kumrahisishia kupata usingizi. “Napenda harufu ya mwenza wangu…nahisi amani na utulivu hali ambayo husababisha nipitiwe na usingizi kirahisi,”anasimulia. Anachosema…

Read More