Wanandoa mkikosana msidhuru wasiohusika | Mwananchi

Si mara ya kwanza wala ya mwisho kujadili mauaji na ukatili dhidi ya kinamama na watoto kutokana na kutoelewana katika ndoa. Japo hakuna habari nzuri, mauaji ya watoto na wanandoa yatokanayo na kutoelewana kwa wanandoa yanazidi kushamiri nchini. Mauaji ya namna hii yamekuwa matukio ya kawaida yanayoripotiwa na vyombo vyetu vya habari hata vya nje…

Read More

Kocha Sudan awastua nyota wake

BAADA ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Nigeria, timu ya taifa ya Sudan imeonekana kuingia kwenye hali ya kujiamini, lakini kocha Kwesi Appiah ametoa onyo kwa wachezaji wake. Sudan ipo nafasi ya kwanza katika Gundi D ikiwa na pointi nne, sawa na Senegal iliyopo nafasi ya pili. Kocha Appiah amesema kuwa tofauti ndogo inaweza…

Read More

Feisal anaziokota tu CHAN 2024

KIUNGO mshambuliaji wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameendelea kuonyesha ubora  alionao katika mashindano ya CHAN 2024 baada ya jana usiku kubeba tuzo ya pili ya mchezaji bora wa mechi dhidi ya Afrika ya Kati ikiwa ni mechi ya mwisho ya Kundi B iliyopigwa Kwa Mkapa. Katika mechi hiyo ambayo ilimalizika kwa suluhu, Fei…

Read More

Chipukizi yafyeka 10 Ligi Kuu Zanzibar 

KIKOSI cha Chipukizi United kinachoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, kimefyeka wachezaji 10, huku ikiendelea kujisuka upya kwa kunasa saini za nyota watano na kutupia jicho michuano ya CHAN ili kujenga kikosi hatari kwa lengo la kupambania kutwaa mataji yote ya ndani. Chipukizi iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita ikimaliza nafasi ya tisa kati ya timu 16 zinazoshiriki…

Read More

Kocha Mlandege afichua dili ya usajili wa Yakoub Msimbazi

WAKATI ikitajwa kuwa kipa namba moja wa JKT Tanzania na timu ya taifa,  Taifa Stars,  Yacoub Suleiman kuwa kamalizana na Simba kocha aliyemuibua nyota huyo, Hassan Ramadhan Hamis amekiri kuwepo kwa mazungumzo ya dili hilo. Hata hivyo, amesema kuwepo bado hajui kinachoendelea, ila kipa huyo amehakikishiwa nafasi na Fadlu Davids endapo mambo yataenda vizuri. Akizungumza…

Read More

Mohamed Rashid atajwa Fountain Gate

UONGOZI wa Fountain Gate (FG) uko katika mazungumzo kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Mohamed Rashid ‘Mo Rashid’ baada ya kukubaliana maslahi binafsi na kilichobaki kwa sasa ni kusaini kandarasi. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo zimelidokeza Mwanaspoti kwamba Mo Rashid amekubaliana maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa miaka miwili wa kukitumikia kikosi…

Read More

Kocha Mkongo: Huyo Kitambala mjipange

LILE straika la Azam FC, Japhet Kitambala limeendelea kutuma salamu kwa mbali likiwa kule Kenya, huku kocha Mkongomani akitoa tahadhari kwa timu za Ligi Kuu Bara kuwa zijipange kwelikweli kukabiliana na mshambuliaji huyo. Kitambala amesajiliwa na Azam dirisha hili la usajili akitokea Union Maniema ambayo awali ilimchukua akitokea TP Mazembe ambapo mara baada ya kumalizika…

Read More

Mlandege yatuma salamu kwa Wahabeshi, yambeba Baresi

KATIKA kuhakikisha inafanya vyema katika Ligi ya Mabingwa Afrika, mabosi wa Mlandege wamemuongeza kocha Abdallah Mohamed ‘Baresi’ katika benchi la ufundi la timu hiyo. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Zanzibar imekata tiketi ya michuano tangu 2021 ikipangwa kukutana na Ethiopia Insurance ya Ethiopia kati ya Septemba 19 wataanzia ugenini. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa Mlandege,…

Read More

Chadema inazalisha vyama ‘maadui’, CCM inavirutubisha

On Liberty ni insha ya mwanafalsafa wa Uingereza, John Stuart Mill. Insha hiyo ilichapwa kama kitabu mwaka 1859. Karne moja na miaka 66 imepita, tangu chapisho hilo lilipokamilishwa. Ndani ya On Liberty, Mill aliandika: “If you don’t know the other side’s argument, you really don’t know much of your own, either.” – “Kama hujui hoja…

Read More