Waafrika 70 wafariki dunia wakivuka maji kwenda Ulaya

Banjul. Wizara ya Mambo ya Nje nchini Gambia, imetoa taarifa ya vifo vya watu 70 baada ya kupinduka kwa mashua  waliokuwa wakisafiria. Imeelezwa kuwa, ajali hiyo imetokea baada ya abiria wa mashua hiyo kusogea upande mmoja wa mashua walipoona mwanga wa mji wa Mheijrat, karibu kilomita 80 kaskazini mwa mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott. Kwa…

Read More

SHIMIWI NI MAHALA PA KAZI – Bi ZIANA MLAWA

………….. 📌 Asema Wizara ya Nishati ipambane irudi na ushindi 📌 Asema Wizara ya Nishati iwe mfano kwa Wizara zingine Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga afya ya mwili na akili hivyo mtumishi anapopata nafasi ya kushiriki michezo yeyote aitumie…

Read More

SERIKALI YAIMARISHA ULINZI WA URITHI WA KABILA LA WAHDZABE.

………….. Mkuu wa Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, Dkt. Lameck Karanga amesema Serikali kupitia mamlaka husika imeanza kuchukua hatua dhidi ya raia wa kigeni pamoja na waongoza watalii ambao ni watanzania wanaotuhumiwa kuwarekodi maudhui yasiyofaa wananchi wa kabila la Wahadzabe wanaoshi wilayani humo. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC1 Agosti 27,2025, Dkt. Lameck…

Read More

Tanesco yakamata watano kwa hujuma ya miundombinu Kahama

Shinyanga. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kanda ya Magharibi kwa kushirikiana na maafisa kutoka makao makuu, limewakamata wateja watano wanaodaiwa kuhujumu miundombinu ya shirika hilo kwa njia zisizo halali ikiwemo kuhamisha na kuchezea mita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Tukio hilo limebainika kupitia operesheni maalum ya ‘Baini wajibika Okoa Mapato (BAOMA), iliyoendeshwa na shirika hilo kwa…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN AIONA TANZANIA YENYE MAENDELEO, NEEMA TELE

*Awaomba wananchi wachague wagombea wa CCM Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mvomero  MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amesema kwamba Tanzania ijayo itakuwa nchi yenye neema itakayotekeleza miradi ya maendeleo bila kutegemea fedha za mikopo mikubwa huku wananchi wakipata huduma bora za kijamii kama elimu,umeme, afya,maji na…

Read More

Kibwana afafanua ishu ya kiungo Yanga

BAADA ya kuwapo kwa taarifa za kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Aregash Kalsa kuachwa na timu hiyo, mratibu wa kikosi hicho Kibwana Matokeo amesema nyota huyo bado yupo Jangwani. Kumekuwapo na taarifa mitandaoni zinazodai kwamba mchezaji huyo anayetumia mguu wa kushoto amejiunga na RS Berkane ya Ligi Kuu ya Wanawake Morocco. Kalsa alijiunga na Yanga…

Read More