Kocha awataja Fei Toto, Kagoma

KOCHA wa Burkina Faso, Issa Balbone amesema viwango vilivyoonyeshwa na nyota wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Yusuf Kagoma, ndiyo sababu ya kuanza vibaya katika michuano ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa Afrika kwa wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN). Timu hiyo ilianza vibaya michuano hiyo baada ya kuchapwa mabao 2-0, katika mechi…

Read More

MAJALIWA AIAGIZA WIZARA YA KILIMO KUKUZA TEKNOLOJIA ZA UMWAGILIAJI NCHINI

………….. 📍NIRC:Dodoma  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasim Majaliwa, amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Dkt.Gerald Mweli kuhakikisha kuwa Wizara hiyo, kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, inashirikiana na sekta nyingine za umma ili kuhimiza matumizi ya teknojia za kisasa za Umwagiliaji, ikiwa ni pamoja kuhamasisha uwekezaji kutoka kwa wadau wa sekta…

Read More

WAZIRI MKUU ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE 2025 DODOMA

*Atembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zake ukiwemo Mfuko wa NSSF Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakati alipotembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Ofisi hiyo pamoja na Taasisi zake ikiwemo…

Read More

Mzambia aichomolea Namungo | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Namungo wakimpigia hesabu za kumrejesha aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mzambia Hanour Janza kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kwa msimu ujao, dili hilo huenda likakwama rasmi baada ya kushindwa kufikia makubaliano mapya. Janza alikuwa katika mazungumzo na uongozi wa Namungo ili kuja kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na kocha Juma Mgunda, aliyeondoka,…

Read More

Majimbo kivumbi na jasho uwakilishi Zanzibar

Unguja. Wakati kesho, Agosti 4, 2025, watiania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakitarajiwa kupigiwa kura za maoni, majimbo haya yatakuwa na kivumbi na jasho kwenye nafasi za uwakilishi visiwani Zanzibar. Kura za maoni hizo zitahitimisha siku nne za hekaheka na mshikemshike wa watiania hao kufanya kampeni za kujitambulisha na kuomba kura kwa wajumbe katika maeneo…

Read More

Clara Luvanga, Chelsea kuna kitu

CHELSEA ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu ya wanawake ya England, Chelsea imeelezwa imevutiwa na kiwango cha mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Saudi Arabia. Tayari Luvanga ameichezea Al Nassr misimu miwili tangu aliposajiliwa mwaka 2023 akitokea Dux Logrono ya Hispania, aliyocheza kwa miezi mitatu tu na kupata shavu hilo. Mmoja wa…

Read More

Walimu wa awali na mzigo wa wanafunzi

Dar es Salaam. Uwekezaji katika elimu ya awali ni msingi muhimu wa maendeleo ya mtoto na Taifa kwa ujumla. Katika hatua hii ya maisha, watoto hujifunza stadi za msingi kama vile mawasiliano, ushirikiano na fikra bunifu, ambazo huakisi mafanikio yao ya baadaye kitaaluma na kijamii. Elimu ya awali huchochea ukuaji wa ubongo, huandaa watoto kwa…

Read More

Isangi ataja Sababu kujiondoa Uchaguzi RT

RAIS wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Silas Isangi ameweka wazi sababu za kujiondoa katika kinyanganyiro cha kutetea kiti chake. Isangi ni miongoni mwa wagombea 20 waliokuwa katika mchakato wa usaili wa Kamati ya Uchaguzi wa RT baada ya kurejesha fomu za kugombea katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Agosti 16 mwaka huu, jijini Mwanza. Ingawa alifika…

Read More

WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA TADB

Na Mwandishi wetu, TADB Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameipongeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB) kwa kuleta mageuzi makubwa ya Kilimo nchini. Amesema hayo leo tarehe 3 Agusti, 2025 mara baada ya kutembelea banda la Mdhamini Mkuu wa Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima maarufu kama Nanenane…

Read More