
Kocha awataja Fei Toto, Kagoma
KOCHA wa Burkina Faso, Issa Balbone amesema viwango vilivyoonyeshwa na nyota wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Yusuf Kagoma, ndiyo sababu ya kuanza vibaya katika michuano ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa Afrika kwa wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN). Timu hiyo ilianza vibaya michuano hiyo baada ya kuchapwa mabao 2-0, katika mechi…