Waafrika 70 wafariki dunia wakivuka maji kwenda Ulaya
Banjul. Wizara ya Mambo ya Nje nchini Gambia, imetoa taarifa ya vifo vya watu 70 baada ya kupinduka kwa mashua waliokuwa wakisafiria. Imeelezwa kuwa, ajali hiyo imetokea baada ya abiria wa mashua hiyo kusogea upande mmoja wa mashua walipoona mwanga wa mji wa Mheijrat, karibu kilomita 80 kaskazini mwa mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott. Kwa…