Kihoro wagombea ubunge, uwakilishi vikao vikianza CCM

Dar es Salaam. Kihoro kimetawala miongoni mwa watiania walioshiriki kura za maoni za ubunge na uwakilishi katika Chama cha Mapinduzi (CCM), wakati vikao vya juu vya uteuzi vikianza. Swali kuu miongoni mwao ni iwapo walioongoza kwenye kura za maoni ndio watakaoteuliwa, au wengine wanaweza kuinuliwa na kuwa wateule kutokana na sababu mbalimbali. Kitendawili hiki kitateguliwa…

Read More

Meridianbet Missions, Njia Mpya Ya Kuburudika Na Kushinda Zaidi

KARIBU kwenye msimu mpya wa michezo ya kasino kupitia Meridianbet Missions, mfumo wa kipekee uliobuniwa kwa ajili ya wapenzi wa michezo ya kubashiri. Mfumo huu unabadilisha kila dau lako kuwa safari yenye ushindi mkubwa, ambapo kila unachofanya, iwe ni kucheza kasino au kuspin slots unazozipenda unapata point zinazokuwezesha kufungua zawadi kabambe kama vile bonasi, free…

Read More

Mkongomani awindwa Dodoma Jiji | Mwanaspoti

BAADA ya aliyekuwa beki wa kati wa Tabora United, Mkongomani Andy Bikoko Lobuka kumaliza mkataba na kikosi hicho, mabosi wa Dodoma Jiji wamefungua mazungumzo na nyota huyo ili kuitumikia msimu ujao. Mchezaji huyo aliyejiunga na Tabora United msimu wa 2023-2024 akitokea SM Sanga Balende ya kwao DR Congo amemaliza mkataba wa miaka miwili na kikosi…

Read More

Winga Mzenji kuibukia Tanzania Prisons

KIKOSI cha Tanzania Prisons kinaendelea na maandalizi ya msimu ujao, huku kikivuta pia mastaa wapya kimyakimya ambapo kwa sasa kipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa winga wa JKU ya Zanzibar, Neva Kaboma. Awali, mchezaji huyo ilidaiwa angejiunga na Coastal Union ambayo mwanzoni ilifanya mawasiliano na waajiri wake ingawa moja ya changamoto iliyojitokeza…

Read More

Morocco: Yeyote aje tu robo fainali

KOCHA wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amejivunia ubora wa kikosi huku akisema vijana wake wana uwezo wa kushindana na timu yoyote katika hatua ya robo fainali ya michuano CHAN. Stars ilitinga robo fainali ya michuano hiyo ikiwa na mechi moja mkononi iliyokamilishwa jana Jumamosi usiku dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya…

Read More