Morocco, DRC Congo biashara mapema!

LEO Agosti 17 kuna mtanange wa kukata na shoka kwenye Uwnaja wa Nyayo jijini Nairobi kati ya timu ya taifa ya Morocco na DRC Congo kwenye Kundi A ambazo zinatafuta nafasi ya kufuzu robo fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Kwenye kundi hilo Kenya inaongoza ikiwa na pointi saba…

Read More

Vita ya namba 10 Simba, Ateba akiaga

KWENYE kikosi cha Simba imezuka vita mpya hata kabla ya kiungo mshambuliaji Neo Maema hajatua kambini na mabosi wa timu hiyo sasa wanakuna kichwa. Maema juzi alikamilisha dili lake la kujiunga na Simba akitokea Mamelodi Sundowns ukiwa ni usajili wa pili Simba wanaufanya kutoka kwenye kikosi hicho ambacho msimu uliopita kilifika fainali ya Ligi ya…

Read More

Mfaransa atoa ‘code’ ya kiungo Yanga

MFARANSA Julien Chevalier amempa maujanja kocha wa Yanga Romain Folz, jinsi ya kumtumia Celestin Ecua, huku akiwatobolea Simba siri ya Djessan Privat. Julien alikuwa kocha wa Ecua katika timu ya Asec Mimosas akimfundisha kwa kipindi cha nusu msimu – akimpokea kutoka Zoman ya hukohuko Ivory Coast. Ecua ambaye ametua Yanga akijiandaa kukichezea kikosi hicho msimu…

Read More

Serikali yaagiza migodi ichungizwe kuepuka ajali

Shinyanga. Wakati shughuli za uokoaji zikiendelea kwenye mgodi wa Chapakazi wilayani Shinyanga ili kuwapata watu 18 walionasa ardhini, Naibu Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa ameagiza kuchunguzwa migodi yote nchini ili kuepuka majanga. Ametoa agizo hilo leo Agosti 16, 2025 alipozungumza na wananchi eneo la ajali mgodini katika Kijiji cha Mwongozo, Kata ya Mwenge, wilayani…

Read More

Stars yalazimishwa sare ya kwanza CHAN

TIMU ya taifa ‘Taifa Stars’ imelazimishwa suluhu na Afrika ya Kati kwenye mechi ya mwisho ya kundi B iliyopigwa katika  Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Stars ilishafuzu mapema robo fainali baada ya kuichapa Madagascar mabao 2-1 siku chache zilizopita kwa mabao yaliyofungwa na Clement Mzize ambaye leo hakuwa sehemu ya mchezo. Stars ambayo iliingia…

Read More

Samatta, Le Havre waanza na kipigo

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameanza vibaya Ligue 1 baada ya kikosi anachokitumikia kwa sasa Le Havre kulala kwa mabao 3-1 ikiwa ugenini mbele ya Monaco. Samatta aliyesajiliwa hivi karibuni aliingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Simon Ebonog dakika ya 58, lakini haikuisaidia kuepuka kipigo hicho kwenye…

Read More