TBL YAWEZESHA WAKULIMA WA SHAIRI MONDULI JUU KUHUSU UJUZI WA KUONGEZA NA KUBORESHA UZALISHAJI

Na Mwandishi Wetu,Monduli TANZANIA Breweries Plc (TBL), mshiriki muhimu katika mnyororo wa thamani wa kilimo nchini Tanzania, imechukua hatua madhubuti kuimarisha kilimo cha shayiri nchini kwa kukutana na wakulima wa Monduli Juu, Arusha, na kuwapatia mafunzo ya vitendo na ushauri wa kitaalamu wenye lengo la kuongeza mavuno na kuboresha ubora wa zao. Kikao hicho cha…

Read More

Musoma Vijijini yapokea Sh208 milioni mradi wa maji

Musoma. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini mkoani Mara imepokea zaidi ya Sh208 milioni kwa ajili ya ujenzi wa vituo vitano vya kuchotea maji katika vijiji vinne, mradi ambao ukikamilika unatarajiwa kupunguza changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi. Fedha hizo zimetolewa na Serikali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa…

Read More

Mtoto adaiwa kuuawa kwa jirani alikokwenda kucheza

Moshi. Mtoto wa miaka mitatu na nusu, Ivan Chuwa ameuawa kwa kukatwa shingo, mtuhumiwa akidaiwa kuwa ni kijana jirani yao kutokana na imani za kishirikina. Tukio hilo lililotokea jana Agosti 15, 2025 saa 10:00 jioni, wakati mtoto huyo akicheza kwa jirani, limezua taharuki miongoni mwa wanajamii. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha…

Read More

TUKITUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TUTAOKOA HEKTA 400,000 ZA MISITU ZINAZOTEKETEA KWA MWAKA-MJIOLOJIA NSAJIGWA

:::::::: Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia si tu yanahatarisha afya bali pia yanachochea uharibifu wa mazingira ambapo takribani hekta 400,000 za misitu hupotea kila mwaka nchini kutokana na ukataji wa miti kwa ajili ya kuni na mkaa, jambo linalochangia kuongezeka kwa ukame na mabadiliko ya tabianchi. Hivyo, Watanzania wameaswa kuhamia katika…

Read More

Ujenzi SGR Uvinza – Musongati waiva

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameshiriki uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Uvinza hadi Musongati, akiwahakikishia Watanzania na Warundi kwamba, ujenzi huo utaanza katika muda uliopangwa. Majaliwa ameshiriki hafla hiyo iliyofanyika eneo la Musongati, nchini Burundi leo Agosti 16, 2025 akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan. Amesema reli…

Read More

Umemsikia Niyonzima Yanga? | Mwanaspoti

JANA, mashabiki wa Yanga waliwaona wachezaji wao wapya akiwemo akiwemo Balla Moussa Conte, Lassine Kouma, Mohamed Doumbia na mshambuliaji wa kati Andy Boyeli kwenye mechi hiyo ya kirafiki ambayo waliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rayon Sports mjini Kigali, Rwanda. Katika mechi hiyo iliyomalizika kwa Yanga kushinda 3-1, Rayon Sports ndio waliokuwa wa…

Read More