
Sh114 bilioni kukarabati miundombinu iliyoharibiwa na mvua kusini
Kilwa. Serikali inategemea kutumia kiasi cha Sh114bilioni kwaajili ya ujenzi wa madaraja 11 na maboksi 18 ambayo hadi sasa ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 75 . Akizungumza leo Jumamosi Agosti 16,2925 baada ya kutembelea na kufanya ukaguzi katika maeneo ambayo mvua za El-nino ziliharibu miundombinu katika mikoa ya kusini, Mtendaji mkuu wa Wakala ya…