Madaktari bingwa wa saratani, wataalamu wa mionzi kukutana Dar kujadili namna ya kudhibiti saratani nchini

MADAKTARI bingwa wa saratani, wataalamu wa tiba mionzi, watafiti, watunga sera pamoja na mashujaa wa saratani kutoka kwenye nchi zaidi ya 20 wanatarajiwa kushiriki kongamano la kwanza la kimataifa la saratani linalotarajiwa kufanyika hapa nchini. Aidha zaidi ya washiriki 600 wakiwemo washirika wa maendeleo, asasi za kiraia na sekta binafsi wanatarajiwa pia kushiriki katika kongamano…

Read More

ACT-Wazalendo yaahidi mageuzi sekta za ardhi, rasilimali

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo katika ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2025 kimeahidi kufanya mageuzi makubwa katika sera za ardhi na rasilimali za Taifa, kikisema wananchi ndio watakaowekwa katikati ya umiliki na manufaa. Ilani hiyo inabainisha kuwa ardhi ni maisha na msingi wa utajiri wa Taifa, hivyo mageuzi yatakayofanyika yatagusa sekta za ardhi,…

Read More

Ubebaji huu hatari kwa mtoto chini ya miaka mitano

Dar es Salaam. Mazoea ya baadhi ya watu kuwabeba watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa kuwashika mikono na kuwavuta juu, kuwaweka kichwani au shingoni na kisha kuwashusha kwa njia ileile, yanatajwa na wataalamu wa afya kuwa ya hatari kwa usalama wao. Wapo pia wazazi na walezi wanaowaburuza watoto kwa kuwashika mkono wanapokataa kutembea, wakidhani…

Read More

Mjumbe FIFA ampongeza Karia | Mwanaspoti

Mjumbe wa Baraza la Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Souleyman Waberi, amempongeza rais mteule wa TFF, Wallace Karia huku akiahidi kumpa ushirikiano mkubwa katika utawala wake madarakani. Waberi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Djibouti, ametoa salama hizo katika mkutano mkuu wa TFF, unaofanyika leo jijini Tanga. Akizungumza baada…

Read More

Karia: Chuma kimepita kwenye moto

Rais mteule wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF Wallace Karia amewashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi, kwa imani yao kwake. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo uliofanyika jijini Tanga na kushinda kwa kishindo amesema haikuwa rahisi kwa mchakato huo wa uchaguzi. Karia amewataka wajumbe wa mkutano huo wasiumie na lolote kwani hatua…

Read More

Hekaya za Mlevi: Akili mnemba kizibo cha akili

Dar es Salaam. Zamani tulikuwa tunatumia tembe dhidi ya malaria zilizojulikana kama “kwinini”. Tembe hizi zilikuwa chungu kiasi kwamba mgonjwa alizihisi mpaka kisogoni pale alipozimeza.  Wagonjwa wengi walikuwa wakizitupia uvunguni, ndipo wataalamu wakabuni njia ya kuwavutia. Wakaziweka tabaka la utamu uliofanana na ule wa peremende. Angalau kwa njia hii wagonjwa walishawishika kuzitumia. Lakini tabaka lile…

Read More

Nyamlani apeta tena TFF akiteuliwa Umakamu wa Rais

Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Athuman Nyamlani amebaki katika nafasi yake baada ya kuteuliwa tena kuendelea na nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Rais anapatikana kwa kuteuliwa na Rais ambapo Karia ametumia fursa hiyo kumteua Nyamlani. “Nimepokea uteuzi…

Read More

JKCI yawezesha Tanzania kupiga hatua kiuchumi

Dar es Salaam. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, ikieleza mafanikio yaliyofikiwa katika sekta ya afya, yakiwamo kupunguza utegemezi wa matibabu ya moyo nje ya nchi na kuongeza mapato ya Taifa kupitia tiba utalii. Maadhimisho hayo yamefanyika leo Agosti 15, 2025 katika Ukumbi wa Maktaba Mpya ya Chuo…

Read More

Nyambaya, Lufano nje, Kulunge, Hossea ndani

Uchaguzi wa wajumbe wa Kamati ya Utendaji umepeleka kilio kwa waliokuwa wajumbe wa Kanda Namba Moja Lameck Nyambaya na namba tano Vedastus Lufano baada ya kuanguka. Nyambaya ambaye alikuwa anatetea kiti chake ameanguka baada ya kupata kura 33 wakati mshindi akiibuka Hossea Lugano aliyepata kura 40. Katika uhesabuji wa kura hizo kura tatu ziliharibika, baada…

Read More