Anayewania Ujumbe Kamati ya Uchaguzi TFF, ajiondoa

Wakati Uchaguzi Mkuu wa TFF ukiendelea jijini Tanga, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa shirikisho hilo anayewania Kanda Namba Tatu, Evance Gerald Mgeusa amejiondoa kuwania nafasi hiyo. Mgeusa alikuwa akigombea nafasi ya Utendaji wa TFF Kanda Namba Tatu, inayohusisha mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma na Songea. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi TFF, Wakili Kiomoni…

Read More

ELIMU NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA WANAWAKE MKOANI MBEYA KUPITIA KONGAMANO LA WANAWAKE NA FURSA ZA KIUCHUMI.

Mbeya. Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetoa wito kwa wananchi kuachana na matumizi ya nishati chafu ya kupikia na kuchagua nishati safi kama njia ya kulinda afya, mazingira na kuimarisha uchumi wa kaya. Akizungumza Agosti 15 katika kongamano la wanawake na wajasiriamali kuhusu fursa za kiuchumi lililofanyika mkoani Mbeya, Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Nishati Safi…

Read More

Sauti ya mgombea yapotea, akomaa kuomba kura

Katika hali ya kushangaza, mgombea wa kanda namba tatu, James Mhagama amepata changamoto ya sauti ambayo imemfanya ashindwe kusikika vizuri. Kabla ya kuomba kura, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Kiomoni Kibamba amewajulisha wajumbe kuwa Mhagama amepata chagamoto ya sauti. “Jana alikuwa anasikika vizuri lakini leo ana changamoto kidogo sasa sijui ni mambo ya kiuchaguzi,” amesema…

Read More

Kocha Algeria awastua Fei Toto, Mzize

KOCHA wa Algeria, Madjid Bougherra, ametuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa ndani akiwemo nyota wa Taifa Stars, Feisal Salum Fei Toto na Clement Mzize, akisisitiza kuwa vipaji vya Afrika ndiyo uti wa mgongo wa soka la Ulaya na kinachohitajika ni kujiamini na kufanya kazi kwa bidii ili kufikia mafanikio makubwa. Bougherra, aliyewahi kuwa beki tegemeo…

Read More

Anuary Jabir arejea Dodoma Jiji

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Anuary Jabir amerejea tena ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya kukitumikia msimu ujao baada ya kumaliza mkataba wake na Mtibwa Sugar aliyoisaidia kupanda Ligi Kuu Bara ikitokea Championship. Anuary aliyefunga mabao manane katika Ligi ya Championship kwa msimu wa 2024-2025, ameiwezesha Mtibwa Sugar kutwaa taji na kuipandisha baada ya…

Read More

Yanga yakosa mpiga kura Uchaguzi TFF

KLABU ya Yanga imekosa mjumbe atakayepiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa TFF unaofanyika leo jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort. Akizungumza jijini Tanga, Mwenyekiti Wa Kamati ya Uchaguzi TFF, Wakili Kiomoni Kibamba amesema Yanga imekosa sifa ya kupiga kura kwa sababu haijawakilishwa na Mwenyekiti kama kanuni zinavyoelezea. “Kwa mujibu wa katiba ya TFF…

Read More

“SERIKALI IMEENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA NA KUFUNDISHIA” MWAMBENE

Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Bw. Atupele Mwambene amesema serikali kupitia miradi mbalimbali imeboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kwa kuyafanya yawe salama, yanavutia na rafiki kwa walimu na wanafunzi kufundisha na kujifunza ili kuendelea kuboresha Sekta ya elimu kote Nchini. Bw. Mwambene ameyesema hayo wakati wa akifunga mafunzo…

Read More

Utaka adai angetoboa CHAN 2024

MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya taifa la Nigeria, John Utaka amejipigia debe kwa kusema kama angepewa nafasi ya kuiongoza timu hiyo kwenye mashindano ya CHAN 2024, asingeishia hatua ya makundi kama ilivyo kwa Éric Sékou Chelle. Nigeria chini ya Chelle imeweka rekodi mbovu, ikifungwa mechi mbili mfululizo katika hatua ya makundi, kwanza dhidi ya…

Read More

Lwasa aziingiza vitani mbili bara

KIUNGO mshambuliaji wa Kagera Sugar, Mganda Peter Lwasa anaingia Tanzania leo ili kuanza maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara , huku akiziingiza vitani Mtibwa Sugar na Pamba Jiji ambazo zimeonyesha nia ya kumtaka nyota huyo. Hata hivyo, wakati Lwasa akiwaniwa na klabu hizo, taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata zinaeleza kiungo huyo yupo katika mgogoro…

Read More

Abdallah Kessy aahidi makubwa jeshini

BAADA ya JKT Queens kumtambulisha Abdallah Kessy kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, mkufunzi huyo amesema matarajio yake ni kuisaidia timu hiyo katika michuano ya kimataifa na kutetea taji la ndani ililotwaa msimu uliopita katika Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) sambamba na Ngao ya Jamii. Kessy anarithi mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Esther…

Read More