Kilio cha wananchi kutembea masafa marefu sasa basi, vikianzishwa vituo vipya vya daladala

Unguja. Baada ya wananchi kupaza sauti zao wakilalamikia masafa marefu wanayotembea kwa kukosa vituo vidogo vya daladala kufika katika ya mji, Serikali imeweka vituo vya muda vya kushusha na kupakia wakati ukisubiriwa mpango wa muda mrefu. Katika utaratibu uliokuwapo awali, daladala zilizokuwa zikitoka nje ya mji zilitakiwa kuingia na kushusha kituo kikuu cha daladala Kikwajuni,…

Read More

SHIMIWI YAPATA UDHAMINI WA VIFAA VYA MICHEZO

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI) wamepata udhamini wa vifaa mbalimbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 5.5 kutoka kwa Mkurugenzi wa Smart Sport Bw. George Wakuganda, ambaye ni mfanyabiashara wa vifaa vya michezo wa jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa…

Read More

Sita mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya Wilson Mbise (25), mkazi wa King’ori wilayani Arumeru na kujeruhi wengine sita. Watuhumiwa hao ambao majina yao yamehifadhiwa, wanadaiwa kutenda mauaji hayo Septemba 11, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Arusha, leo Ijumaa Agosti…

Read More

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, WILDAF YAWANOA WAGOMBEA WANAWAKE 200

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Shirika la WILDAF limeanza kuwanoa wagombea wanawake nchini na kuwapa mikakati ya kampeni ili waweze kushinda kwenye uchaguzi mkuu na kuongeza wanawake viongozi. Mafunzo hayo yanayofanyika wiki hii, yanawajumuisha wanawake 200 wakiwemo 100 kisiwani Zanzibar na Pemba pamoja na 100 jijini Dar es Salaam. Mratibu wa WILDAF Wakili Anna…

Read More

MWAKINYO KUPANDA ULINGONI DISEMBA 26 MWANZA

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo, amesema yupo tayari kupambana na bondia yeyote, mradi maslahi ya pambano yatakuwa mazuri. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari kuelekea pambano lake lijulikanalo kama Dar on Boxing Day litakalofanyika Desemba 26 mwaka huu mkoani Mwanza, Mwakinyo amesema anaamini uwezo wake kwenye mchezo wa…

Read More