Majimbo kivumbi na jasho uwakilishi Zanzibar

Unguja. Wakati kesho, Agosti 4, 2025, watiania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakitarajiwa kupigiwa kura za maoni, majimbo haya yatakuwa na kivumbi na jasho kwenye nafasi za uwakilishi visiwani Zanzibar. Kura za maoni hizo zitahitimisha siku nne za hekaheka na mshikemshike wa watiania hao kufanya kampeni za kujitambulisha na kuomba kura kwa wajumbe katika maeneo…

Read More

Clara Luvanga, Chelsea kuna kitu

CHELSEA ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu ya wanawake ya England, Chelsea imeelezwa imevutiwa na kiwango cha mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Saudi Arabia. Tayari Luvanga ameichezea Al Nassr misimu miwili tangu aliposajiliwa mwaka 2023 akitokea Dux Logrono ya Hispania, aliyocheza kwa miezi mitatu tu na kupata shavu hilo. Mmoja wa…

Read More

Walimu wa awali na mzigo wa wanafunzi

Dar es Salaam. Uwekezaji katika elimu ya awali ni msingi muhimu wa maendeleo ya mtoto na Taifa kwa ujumla. Katika hatua hii ya maisha, watoto hujifunza stadi za msingi kama vile mawasiliano, ushirikiano na fikra bunifu, ambazo huakisi mafanikio yao ya baadaye kitaaluma na kijamii. Elimu ya awali huchochea ukuaji wa ubongo, huandaa watoto kwa…

Read More

Isangi ataja Sababu kujiondoa Uchaguzi RT

RAIS wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Silas Isangi ameweka wazi sababu za kujiondoa katika kinyanganyiro cha kutetea kiti chake. Isangi ni miongoni mwa wagombea 20 waliokuwa katika mchakato wa usaili wa Kamati ya Uchaguzi wa RT baada ya kurejesha fomu za kugombea katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Agosti 16 mwaka huu, jijini Mwanza. Ingawa alifika…

Read More

WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA TADB

Na Mwandishi wetu, TADB Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameipongeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB) kwa kuleta mageuzi makubwa ya Kilimo nchini. Amesema hayo leo tarehe 3 Agusti, 2025 mara baada ya kutembelea banda la Mdhamini Mkuu wa Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima maarufu kama Nanenane…

Read More

MERU ECO CAMP YAANZA MABORESHO MAKUBWA KUVUTIA WATALII

Na Mwandishi Wetu, Arusha. Katika kuunga juhudi za kukuza sekta ya utalii na kuongeza idadi ya watalii nchini, kampuni ya utalii ya Meru Eco Camp imezindua mkakati kabambe wa maboresho ya huduma unaolenga kuvutia wageni wa ndani na nje ya Tanzania. Kampuni hiyo inayotoa huduma ndani ya Hifadhi ya Shamba la Miti la Meru, wilayani…

Read More

Anza Jumamosi na Jamvi Kutoka Meridianbet

KAMA kawaida leo hii ni wikendi ya kutusua na Meridianbet ambapo mechi nyingi za kirafiki zinaendelea na Odds zao ni kubwa sana. Ili kushinda pesa kubwa bashiri mechi hizi na Meridianbet sasa. Tengeneza jamvi leo kwenye mechi ya RB Leipzig dhidi ya Atalanta BC ya kule Italia ambapo wakali wa ubashiri Meridianbet wamempa nafasi kubwa…

Read More

CMSA YAJIKITA KUTOA ELIMU UWEKEZAJI SOKO LA MITAJI

Na MWANSIAHI WETU, DODOMA. MKURUGENZI WA Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Charles Shirima,amesema uwekezaji katika kampuni za umma umeongezeka kwa kiwango cha juu tofauti na hapo awali. Ameeleza hayo wakati akizungumza na wananchi pamoja na waandishi wa habari kwenye maonyesho ya nanenane kwa kubainisha kuwa wamekuja…

Read More