Uchaguzi wa TFF uko palepale, mahakama yajiweka kando

UCHAGUZI Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, utafanyika kama ulivyopangwa baada ya kutupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine kuhoji uhalali wake. Shauri hilo limetupiliwa mbali na Jaji Mfawidhi Salma Maghimbi,  leo Ijumaa Agosti 15, 2025, …

Read More

Fanya haya kupata mapema kitita cha urithi benki

Dar es Salaam. Familia moja mjini Songea, mkoani Ruvuma imeingia kwenye mgogoro wa mali baada ya baba mkuu wa kaya kufariki dunia ghafla bila kuacha wosia. Mgogoro umesababishwa na kitita cha Sh150 milioni alichokiacha benki na mali nyingine zisizohamishika, ambazo baba huyo aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa vifaa vya ujenzi ameacha. Mzazi huyo (jina linahifadhiwa) aliyefariki…

Read More

Vitendo vya ufisadi, rushwa vyatajwa kudidimiza nchi za Afrika

Arusha. Vitendo vya ufisadi na rushwa na matumizi mabaya ya rasilimali za umma katika nchi nyingi za Bara la Afrika, vinatajwa kudidimiza maendeleo katika bara hilo. Kutokana na sababu hiyo Taifa linapaswa kujenga tabia na utamaduni wa kukataa rushwa na vitendo hivyo ikiwemo kuwaibua viongozi vijana watakaolinda rasilimali. Hayo yamesemwa jana Alhamisi Agosti 14, 2025…

Read More

Majeruhi huko Ukraine, Burkina Faso Aid Helikopta Blast, Uganda alitaka kuachilia viongozi wa upinzaji – maswala ya ulimwengu

Jumla ya kila mwezi pia ilikuwa alama ya miaka tatu ya juu, ikizidisha takwimu ya Juni, na HRMMU ikithibitisha vifo vya raia na majeraha katika mikoa 18 ya Ukraine. “Kwa mwezi wa pili mfululizo, idadi ya majeruhi wa raia huko Ukraine hupata kiwango kipya cha miaka tatu,” alisema Danielle Bell, Mkuu wa HRMMU. “Miezi mitatu…

Read More

‘Vitendo vya ufisadi, rushwa kudidimiza nchi za Afrika’

Arusha. Vitendo vya ufisadi, rushwa na matumizi mabaya ya rasilimali za umma vimetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazokwamisha maendeleo ya nchi nyingi barani Afrika. Ili kukabiliana na changamoto hiyo, kuna haja ya kujenga utamaduni wa uwajibikaji, uadilifu na uzalendo  hasa miongoni mwa vijana. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,…

Read More