Hatma kesi na uchaguzi TFF kujulikana jioni hii

HATMA ya  Uchaguzi Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, itafahamika saa 10 jioni wakati Mahakama itakapotoa uamuzi wa mapingamizi ya TFF katika shauri linaloikabili pamoja na uamuzi wa maombi kusimamisha kwa muda. ‎Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 16, 2025 mjini Tanga kwa ajili ya kupata…

Read More

Hatma kesi na uchaguzi TFF kujulikana saa 10 ya leo

HATMA ya  Uchaguzi Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, itafahamika saa 10 jioni wakati Mahakama itakapotoa uamuzi wa mapingamizi ya TFF katika shauri linaloikabili pamoja na uamuzi wa maombi kusimamisha kwa muda. ‎Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 16, 2025 mjini Tanga kwa ajili ya kupata…

Read More

Vipigo vyaichanganya Zambia | Mwanaspoti

KWA mujibu wa taarifa kutoka Zambia vipigo vitatu mfululizo kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 yanayoendelea ukanda wa Afrika Mashariki vimemuweka kwenye wakati mgumu kocha mkuu wa Chipolopolo, Avram Grant. Zambia, iyopo kundi A, imeondolewa rasmi kwenye mashindano hayo baada ya Alhamisi kupoteza mechi ya tatu mfululizo kwa kuchapwa…

Read More

Hatma kesi na uchaguzi TFF kujulikana leo

HATMA ya  Uchaguzi Mkuu wa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi, Agosti 16, 2025, itafahamika saa 10 jioni wakati Mahakama itakapotoa uamuzi wa mapingamizi ya TFF katika shauri linaloikabili pamoja na uamuzi wa maombi kusimamisha kwa muda. ‎Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 16, 2025 mjini Tanga kwa ajili ya kupata…

Read More

Hersi akwama tena, CCM yamkata Kongwa

Rais wa Klabu ya Yanga, Hersi Said ameshindwa kupenya katika mchujo wa majina 13 ya wagombea ubunge Jimbo la Kongwa. Hersi ameungana na wagombea wengine 11 ambao majina yao yameshindwa kupenya katika mchakato huo, huku aliyeshika nafasi ya pili kwenye kura za maoni Agosti 4, 2025, Isaya Mngurumi akipenya. Mapema leo, Katibu wa CCM Wilaya…

Read More

UN inasema Sri Lanka ina ‘nafasi ya kihistoria’ kumaliza kutokujali, kutoa haki – maswala ya ulimwengu

Mzozo huo wa miaka 26, kutoka 1983 hadi 2009, uliweka vikosi vya serikali dhidi ya Tiger za kujitenga za Kitamil Eelam (LTTE)-zinazojulikana zaidi kama Tiger ya Kitamil-ambao walitafuta serikali huru ya Kisiwa cha Kitamil kaskazini na mashariki. Vita vya wenyewe kwa wenyewe vilidai wastani wa maisha 80,000 hadi 100,000, na maelfu zaidi walipotea kwa nguvu,…

Read More

Wanachosema ndugu wa waliofukiwa mgodini Shinyanga

Shinyanga. Baadhi ya ndugu wa waliofukiwa mgodini wameiomba Serikali iongeze juhudi katika kuwatafuta ndugu zao, huku wakiwa wamejiandaa kwa matokeo yoyote. Wakizungumza na Mwananchi leo Agosti 15, 2025 katika eneo la tukio la ajali ya mgodi unamilikiwa na Kikundi cha Wachapakazi uliopo katika Kijiji cha Mwongozo Kata ya Mwenge Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ndugu…

Read More