Azam, Yanga walimaliza kiaina sakata la Ninju

BAADA ya sintofahamu juu ya usajili wa kiungo Nizar Abubakar ‘Ninju’ kutoka JKU ya Zanzibar akijiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka mitatu, huku Azam FC ikiibuka na kudai ni mali yao, mabosi wa klabu hizo wamekutana na kulimaliza na ni rasmi sasa mchezaji huyo atacheza Jangwani. Imeelezwa kuwa Agosti 6, 2024 Azam ilimpa kijana…

Read More

Ukweli kuhusu kucheza kwa jicho

Dar es Salaam. Ni dhana iliyojengeka miongoni mwa wanajamii kwamba, jicho likicheza ni ishara ya kutokea jambo liwe baya au zuri. Kila mmoja na mtazamo wake, wapo wanaoamini kucheza kwa jicho ama la kulia au koshoto huashiria kutokea tukio la furaha au huzuni. Baraka John, mkazi wa Kimara jijini Dar es Salaam anasema siku jicho…

Read More

UDP WATAMBA NA SERA YA KUWAJAZA MAPESA WANANCHI, HAKI ZA WANAWAKE KATIKA UONGOZI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma CHAMA cha United,Democratics Party,(UDP) kimesema kama kitapewa ridhaa ya kushika dola kitawajaza watanzania fedha ili waweze kujikomboa kiuchumi,huku wakikisisitiza suala la haki za wanawake katika uongozi ikiwemo kutokomeza ukatili wa kijinsia. Hayo yamesemwa leo Agosti 15,2025 na mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama hicho,Saum Hussein Rashid wakati akizungumza na…

Read More

Mastaa wapya waongeza mzuka Pamba Jiji

PAMBA Jiji imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa kuleta wachezaji wa maana na kuachana na wale ambao haijaridhishwa na viwango vyao baada ya msimu uliomalizika kunusurika kushuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara. ‎‎Miongoni mwa nyota wapya waliosajiliwa ni timu hiyo yenye maskani yake jijini Mwanza, ni viungo wawili wazawa, Najim Mussa ambaye ni kiungo mshambuliaji kutoka…

Read More

Azam FC yaifuata Yanga Kigali

BAADA ya kumaliza kambi ya wiki mbili Karatu mkoani Arusha, kikosi cha Azam FC kimeondoka nchini kwenda Rwanda ambako ndiko kinamalizia maandalizi ya msimu mpya wa mashindano. Azam FC itakuwa timu ya pili kutoka Tanzania Bara kutua nchini humo ambapo Yanga tayari ipo jijini Kigali na leo Ijumaa inacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Rayon…

Read More

Baraza la Usalama linakataa uundaji wa serikali ya wapinzani huko Sudani – maswala ya ulimwengu

Katika taarifa iliyotolewa Jumatano, wanachama wa baraza walisema Hatua hiyo ilileta “tishio moja kwa moja kwa uadilifu wa eneo la Sudani” na inaweza kugawanyika nchi, mafuta ya mapigano, na kuongeza shida tayari ya kibinadamu. Mabalozi walithibitisha msaada wa “kutokujali” kwa uhuru wa Sudan, uhuru na umojaakisisitiza kwamba vitendo vya unilateral ambavyo vinadhoofisha kanuni hizi hazihatarisha…

Read More

Wanawake wenye VVU Kasulu wasimulia wanavyohamasika kujiunga kwenye kikundi

Kigoma. Kikundi cha wanawake wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU) cha Kiganamo kilichopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimekuwa kikundi cha mfano kutokana na kuzidi kuimarika na kuongeza hamasa kwa kupata wanachama wapya. Kikundi hicho kijulikanacho kama Peer Mothers kinatoa elimu ya kujikinga na maambukizi mapya kwa wajawazito na wanaonyonyesha huku elimu hiyo ikionekana kuleta…

Read More

MRADI WA KUTATUA CHANGAMOTO YA NDOA ZA UTOTONI KUPITIA MILA NA DESTURI WAZINDULIWA MZUMBE

Chuo Kikuu Mzumbe, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Antwerp cha nchini Ubelgiji wamezindua rasmi mradi wa Kuwezesha mabadiliko chanya ya mila na desturi katika Kukabiliana na ndoa za utotoni nchini Tanzania (RE-EMPOWER) ambao umelenga kushughulikia changamoto za kijamii, kiuchumi na kimazingira ambazo zimebainika kuwa ni vichocheo vya ndoa za utotoni nchini Tanzania. Uzinduzi wa…

Read More