Mama Ntilie Yafurahia Ujio wa Meridianbet

KAMA ilivyo kawaida leo hii wakali wa ubashiri wamewatembelea wafanyabiashara wa vyakula wadogo wadogo kwa jina maarufu Mama Ntilie na kuwapatia Aprons ambazo kwa namna moja au nyingine zitawasaidia kwenye suala lao la upikaji wa vyakula. Jumatano ya leo Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet, iliamua kufunga safari moja kwa moja na kuelekea mpaka Mwenge msafara…

Read More

Fofana, Zitoun sasa kimeeleweka Azam FC

KESHO Ijumaa Azam FC inatarajiwa kuwatambulisha wachezaji wapya wawili iliyowasajili kutoka klabu ya Al-Hilal ya Sudan. Nyota hao wanatua Azam kuungana na kocha Florent Ibenge waliyefanya naye kazi wote walipokuwa Al Hilal. Nyota hao wapya ni, kipa Issa Fofana na mshambuliaji Taieb Ben Zitoun, ambao wameshafanyiwa vipimo vya afya na kufuzu. Azam itawatambulisha kabla ya…

Read More

Mido wa boli anukia Coastal

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa kiungo wa Kagera Sugar, Jofrey Manyasi, baada ya nyota huyo kuvutiwa na ofa aliyowekewa mezani, huku kilichobakia kwa sasa ni mwenyewe kusaini mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo ameondoka Kagera Sugar iliyoshuka daraja msimu wa 2024-2025, ikitoka Ligi Kuu Bara na kwenda kushiriki Ligi ya…

Read More

CHAN 2024: Guinea, Algeria ngoja tuone

FAINALI za CHAN 2024 zinaingia wiki ya pili leo Ijuma tangu zilipoanza rasmi Agosti 2 na zitapigwa mechi mbili za Kundi C, mapema saa 11:00 jioni Guinea itavaana an Algeria, huku usiku ni zamu ya Niger itakayoumana na Afrika Kusini kila timu ikisaka ushindi muhimu. Kundi hilo linalocheza mechi zake kwenye Uwanja wa Nelson Mandela,…

Read More

Morocco aita mashabiki Kwa Mkapa

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Mkapa, kesho Jumamosi wakati timu hiyo itakapokuwa inamalizia mechi za Kundi B dhidi ya Afrika ya Kati, huku akiahidi kuwapa raha kama alivyofanya. Stars inakamilisha ratiba kwa kuvaana na vibonde hao wa kundi hilo, kwani…

Read More

Sowah atoa msimamo Simba, akimtaja Fadlu

JANA jioni Simba ilimtambulisha rasmi beki raia wa Guinea, Naby Camara, lakini mapema mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Jonathan Sowah ametoa msimamo mzito, huku akimtaja kocha Fadlu Davids. Sowah aliyesajiliwa na Simba hivi karibuni akitokea Singida Black Stars aliyoitumikia kuanzia Januari mwaka huu aliposajiliwa kupitia dirisha dogo ambapo katika mechi 15 za mashindano yote aliifungia…

Read More

Ecua, Conte wana jambo lao maalum Yanga

KLABU ya Yanga itaanza mbio za kufukuzia ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mwezi ujao kwa kupangwa kuumana na Wiliete Benguela ya Angola inayotumikiwa na nyota wa zamani wa mabingwa hao wa Tanzania Skudu Makudubela. Katika kuhakikisha kila kitu kinakaa sawa na kuvaana na kina Skudu, mabosi wa klabu hiyo chini ya kocha Romain Folz…

Read More