Walinda amani hupata silaha za jiko kusini mwa Lebanon, kwani ukame unatishia mamilioni – maswala ya ulimwengu

Jumanne na Jumatano wiki hii, walinda amani na Kikosi cha mpito cha UN huko Lebanon (UNIFIL) waligundua vizindua vya roketi, ganda la roketi, raundi za chokaa, fusi za bomu na handaki iliyo na vifaa katika matukio tofauti katika sekta Mashariki na Magharibi, msemaji wa UN Stéphane Dujarric aliwaambia waandishi wa habari huko New York. Matokeo…

Read More

Njaa na HeatWave inagonga Ukanda wa Gaza – Maswala ya Ulimwenguni

Hivi majuzi, Israeli imekataa harakati chache za kibinadamu lakini mikutano iliyoidhinishwa “bado inachukua masaa kukamilisha na timu zimelazimishwa kungojea kwenye barabara ambazo mara nyingi ni hatari, zilizokusanywa au zisizoweza kufikiwa,” Ofisi ya Uratibu wa Msaada wa UN Ocha alisema katika hivi karibuni Sasisha. Kati ya 6 na 12 Agosti, watu wa kibinadamu walifanya majaribio 81…

Read More

SACP DKT. DEBORA MAGILIGIMBA AONGEZEWA MAJUKUMU SHIRIKISHO LA POLISI WANAWAKE DUNIANI-IA

::::::: Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Dkt Debora Magiligimba ambaye pia ni mratibu  wa shughuli za Shirikisho la polisi wanawake duniani  IAWP ( International Association of Women Police) wa ukanda wa 21 Southern Africa countries na Mjumbe wa Kamati ya Fedha ya shirikisho la Polisi wanawake duniani ameongezewa majukum ya  kuratibu shughuli za IAWP…

Read More

USALAMA WA CHAKULA NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA.

Na Mwandishi Wetu – Dodoma NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Suleiman Serera, ametoa wito kwa sekta zote nchini kuingiza masuala ya usalama wa chakula katika sera na mipango yao, akisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu kwa kulinda afya ya wananchi na kukuza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya…

Read More

Zambia ndio basi tena CHAN 2024

ZAMBIA imekuwa timu ya tatu kuaga michuano ya CHAN 2024 baada ya jioni kupoteza mechi ya tatu ya Kundi A kwa kufungwa mabao 3-1 na Morocco. Ushindi huo wa Morocco umepatikana jijini Nairobi na kuifanya ifikishe pointi sita, huku Zambia ikiwa haina pointi yoyote. Zambia imezifuata Nigeria na Afrika ya Kati zilizoaga michuano kutoka Kundi…

Read More