Jinsi Teknolojia ya Nyuklia Inavyoweza Kusaidia Kupambana na Udanganyifu wa Dagaa – Maswala ya Ulimwenguni

Kutoka kwa samaki waliotajwa vibaya hadi viongezeo vilivyofichika, mazoea ya udanganyifu yanatishia maisha, usalama wa chakula, na kuamini katika kile kinachoishia kwenye sahani zetu. Sasa, mpango mpya wa kimataifa unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa unatumia sayansi ya nyuklia ya kupunguza kuwalinda watu na kuhakikisha chakula cha baharini wanachotegemea ni salama, halisi, na kinachoweza kupatikana….

Read More

Waliombea eneo kulikotokea ajali iliyoua watu 42 Same

Same. Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wamekutana katika Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro na kufanya ibada maalumu katika eneo la Sabasaba, ambako kulitokea ajali mbaya ya barabarani iliyogharimu maisha ya watu 42, Juni 28, 2025. Katika ibada hiyo, viongozi hao wameiomba Serikali kuweka mnara wa kumbukumbu wenye majina ya wote waliopoteza maisha katika ajali…

Read More

Wanaotaka kumrithi Ndugai yumo Injinia Hersi

Dodoma. Baadhi ya majina ya wanachama 24 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu kuwania uteuzi wa kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa kufuatia kifo cha aliyekuwa hayati Job Ndugai, yameanza kufahamika, likiwamo la Rais wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said. Fomu za kuomba kugombea ubunge zilichukuliwa na kurudishwa juzi baada ya CCM kutangaza…

Read More

WANANCHI WA SONGWE WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA TRA NA SERIKALI KUWAFICHUA WAKWEPA KODI.

 Mkuu wa Mkoa wa Songwe Jabir Omari Makame ametoa amewataka wananchi wa  Songwe kutoa ushirikiano kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Serikali kuwafichua wote wanaofanya magendo na wanaokwepa kulipa kodi.  Ameyasema hayo leo Agosti  13,.2025 alipokutana na maafisa wa TRA wakiongozwa na Meneja wa TRA mkoa wa Songwe CPA. Rashid Harith waliofika ofisini kwake…

Read More

Wadau wasisitiza ushirikiano kuchochea maendeleo endelevu

Dar es Salaam. Wadau wa maendeleo nchini wameeleza umuhimu wa ushirikiano miongoni mwao ili kuhakikisha maisha ya Watanzania yanakuwa bora na stahimilivu kupitia teknolojia na sera wezeshi. Wadau wamebainisha hayo leo Agosti 14, 2025 kwenye mjadala ulioandaliwa na Kampuni ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kuhusu umuhimu wa ushirikiano wa…

Read More

Ceasiaa Queens yabeba kiungo jeshini

BAADA ya kukamilisha usajili wa Wakenya wawili, Ceasiaa Queens inaendelea kushusha vifaa na safari hii imemalizana na kiungo mshambuliaji Halima Mwaigomole kutoka Mashujaa Queens. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya sita msimu uliopita katika mechi 18, ikishinda sita, sare tatu na kupoteza mechi tisa, ikifunga mabao 25 na kuruhusu 37, ikikusanya pointi 21. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Fei Toto kaamua vyema, anastahili pongezi

TETESI nyingi sana zilitolewa kuhusu kiungo wa soka, Feisal Salum Abdallah ambaye hapa kijiweni na maeneo mengi Tanzania tumezoea kumuita Fei Toto na kule Zanzibar wanamuita Failasufi. Kuna kipindi watoa tetesi walituaminisha dogo anaondoka pale kwa wauza aiskrimu na kurejea timu aliyoichezea kabla ya kutua Chamazi kwa maana ya Yanga na kila kitu kipo freshi…

Read More