Tumejiangusha, tumeiangusha nchi CHAN | Mwanaspoti

KWA sasa hapa kijiweni tunaona hadi aibu kuzungumzia fainali za CHAN 2024 maana Watanzania tumeamua kuiangusha nchi yetu kwa kutojitokeza viwanjani kutazama mechi. CAF walipotupa vituo viwili vya mashindano hayo kwa maana ya Dar es Salaam kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na New Amaan Complex kwa Zanzibar walikuwa na sababu moja ya msingi. Sababu hiyo…

Read More

Mpina na uamuzi baada ya kuwa Rais

Dar es Salaam. Mtiania wa urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema akichaguliwa kuwa Rais wa Tanzania, atatumia jukwaa la hotuba baada ya kiapo chake kutangaza kuanza mchakato wa Katiba mpya na kuwashughulikia wabadhirifu papo hapo. Mpina amesema suala la kukomesha ufisadi halitahitaji subira katika Serikali atakayoiongoza, kwani atalishughulikia ndani ya saa 24…

Read More

Watiania urais CUF walivyojipanga kuingia Ikulu

Dar es Salaam. Mtiania wa urais wa Tanzania wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Gombo amewataka Watanzania kuacha kulalamika kuhusu hali ngumu ya maisha badala yake wajitokeze kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025, ili kuiweka madarakani Serikali inayowajibika kwa wananchi. Gombo amewasihi wananchi kutumia haki yao ya msingi ya kupiga kura…

Read More

Chakula kisicho salama kinavyomaliza watu Afrika

Dodoma. Takriban watu 137,000 hufa kila mwaka barani Afrika na wengine milioni 91 wakiugua kutokana na kula chakula kisicho salama. Kutokana na hali hiyo Serikali kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali zinazohusika na suala la usalama wa chakula limekutana ili kupitia upya sera za usalama wa chakula za kitaifa, kikanda na kimataifa ili kuhakikisha kuwa suala…

Read More

Ajira Tanzania kipimo kipya cha ahadi za CCM katika ilani

Katika historia ya siasa za uchaguzi nchini Tanzania, ilani za Chama cha Mapinduzi (CCM) zimekuwa zikiakisi matarajio ya kisera ya chama hicho katika kipindi cha miaka mitano. Hata hivyo, Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025-2030 imeweka alama ya kipekee kwa kulipa uzito mkubwa suala la ajira, ambapo neno ‘ajira’ limetajwa mara 82, ishara…

Read More

Tanesco yaanza kwa vitendo matumizi nishati safi ya kupikia

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea na mkakati wa miaka 10 kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia yenye lengo la kuhakikisha Watanzania wanne kati ya watano wanaitumia ifikapo mwaka 2034, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeanza utekelezaji kwa vitendo. Mkakati huo uliozinduliwa Mei 2024 na Rais Samia Suluhu Hassan unalengo la kumtua mama kuni…

Read More

Tani 128 za dengu zakamatwa Hanang zikitoroshwa

Hanang. Tani 128 za dengu zilizokuwa zikisafirishwa kutokana wilayani Hanang mkoani Manyara kwenye Singida bila vibali vya stakabadhi ghalani zimekamatwa. Tukio hilo limetokea kwenye geti lililopo kata ya Gehandu mpakani mwa mikoa ya Mara, Singida ikiwa ni operesheni maalumu ya kukagua mazao yasiyopitishwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya…

Read More