Tanzania Prisons yaanza na mshambuliaji

BAADA ya uongozi wa maafande wa Tanzania Prisons kukamilisha dili la kocha, Mkenya Zedekiah ‘Zico’ Otieno, tayari harakati za usajili zimeanza na kwa sasa timu hiyo imeanza na mshambuliaji wa kati. Miongoni mwa mshambuliaji anayekaribia kujiunga na kikosi hicho ni Lucas Sendama ambaye msimu wa 2024-2025, aliichezea Stand United ‘Chama la Wana’, ambayo imempa mkataba…

Read More

Azam FC yasaka mrithi wa Mustafa

KUNA taarifa zimeelezwa Azam FC ina mpango wa kuachana na kipa wake Mohamed Mustafa aliyemaliza msimu uliyopita akiwa na cleansheets 10 na ipo katika mchakato wa kusaka mbadala wake. Kwa mara ya kwanza Mustafa alijiunga na Azam Februari 7, 2024 akitokea klabu ya El Mereikh ya Sudan, lakini baada ya kufanya mazoezi chini ya kocha…

Read More

Shule yaokoa gharama kwa kutumia nishati safi

Morogoro. Shule ya Sekondari Morogoro imepunguza gharama za matumizi ya nishati kwa zaidi ya asilimia 67 kila mwezi tangu kuanza kutumia gesi badala ya kuni na mkaa Novemba 2024. Shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 1954 yenye wanafunzi wa bweni 615, awali ilitegemea kuni na mkaa, hali iliyosababisha moshi kudhuru afya za wapishi na kuchafua mazingira. Kupitia…

Read More

Mahakama yaanza kusikiliza shauri la kupinga uchaguzi wa TFF

Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeanza kusikiliza shauri la uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), unaotarajiwa kufanyika Keshokutwa Jumamosi, Agosti 16, 2025. ‎Uchaguzi huo umepangwa kufanyika tarehe hiyo mjini Tanga kwa ajili ya kupata rais wa shirikisho hilo, madai inayowaniwa na rais anayemaliza muda wake, akiwa ni mgombea pekee,…

Read More

Mrithi wa Anthony Mligo huyu hapa

UONGOZI wa Namungo FC, uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya beki wa kushoto wa kikosi cha KVZ ya visiwani Zanzibar, Ally Saleh Machupa ‘Machupa JR’, ili kuziba nafasi iliyoachwa na nyota mwenzake, Anthony Mligo aliyejiunga na Simba. Mligo aliongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kukitumikia kikosi hicho cha ‘Wauaji wa Kusini’, japo baada ya…

Read More

Makundi haya yapo hatarinbi kupata homa ya ini B

Moshi. Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), Dk Elichilia Shao amesema zaidi ya asilimia 95 ya maambukizi ya virusi vya homa ya ini aina ya B (Hepatitis B) hutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa. Dk Shao ameyasema hayo leo, Agosti 14, 2025 wakati…

Read More

Wajifunza jinsi ya kunufaisha wananchi kupitia fidia

Njombe. Viongozi na wajumbe 30 kutoka Kijiji cha Ngwala kilichopo Wilaya ya Songwe mkoani Njombe wamekwenda wilayani Ludewa kwa ajili ya kujifunza mbinu bora za matumizi ya fedha zilizopatikana kutokana na fidia ya mradi wa Liganga na Mchuchuma. Viongozi hao wamekwenda kujifunza hayo kupitia mafanikio yaliyopatikana katika Kijiji cha Mundindi ambapo kiliwakatia kuwakatia bima ya…

Read More