Baraza aanza na kipa, atoa sababu

BAADA ya kutua Pamba kuchukua mikoba ya Fred Felix ‘Minziro’, Mkenya Francis Baraza ameutaka uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanambakiza kipa namba moja wa timu hiyo, Yona Amos. Baraza aliyeingia makubaliano ya mwaka mmoja kuinoa Pamba, alitambulishwa rasmi juzi Julai 30, 2025, katika ofisi za halmashauri ya Jiji la Mwanza. Baraza aliyewahi kuzinoa Dodoma Jiji,…

Read More

Fountain Gate yambeba kocha Mnigeria

MABOSI wa Fountain Gate wapo katika mazungumzo ya kumuajiri aliyekuwa kocha mkuu wa 1472 FC ya Nigeria, Ortega Deniran, ili kukiongoza kikosi hicho msimu ujao akichukua nafasi ya Mohamed Ismail ‘Laizer’ aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo kumalizia msimu uliopita. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti Ortega ambaye ni raia wa Nigeria amepewa…

Read More

Sina wasiwasi na Minziro, Maxime

WAKATI timu zao zikikaribia kuanza maandalizi ya msimu mpya, Dodoma Jiji na Pamba Jiji  zimefanya uamuzi unaofanana kama majina yao yalivyo mwishoni. Zote zimevunja mabenchi yao ya ufundi ambayo yameziongoza timu hizo katika msimu uliopita na zimeingiza sura mpya ambazo zitazinoa katika msimu unaokuja wa 2025/2026. Dodoma Jiji imeachana na Mecky Maxime aliyeiongoza timu hiyo…

Read More

PROFESA MSOFE ARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA NEMC

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Profesa Peter Msofe ameonekana kuridhishwa na utendaji kazi na uwajibikaji wa watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika utekelezaji wa majukumu ya Mazingira hasa usimamizi wa utekelezaji wa Sheria ya Mazingira Nchini. Hayo yamedhihirika wakati alipotembelea Ofisi za Baraza jijini…

Read More

TPBRC yaja kivingine, yakomalia afya za mabondia 

KAMISHENI ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) imesema ili  kuhakikisha mchezo huo unafika mbali wanapaswa kutambua na kufahamu rekodi za afya za mabondia kabla  na baada ya kupigana.  Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo, Emmanuel Saleh wakati alipokuwa katika hafla ya kusaini mkataba wa miaka mitatu na hospitali ya Hitech Sai wenye lengo la…

Read More

Profesa Lekule ateuliwa kuwa makamu mkuu mpya wa Rucu

‎Iringa. Katika juhudi za kuimarisha upatikanaji wa elimu bora kwa wanafunzi nchini, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limemteua Profesa Chrispina Lekule kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu). Uteuzi huo umeweka historia, kwani Profesa Lekule anakuwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo katika chuo hicho. ‎Uteuzi huo umetokana na kikao cha…

Read More

ETDCO YAIFIKIA KONGANI YA VIWANDA YA KWALA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wakati akiweka jiwe la msingi katika Kongani ya Viwanda ya Kwala, Mkoani Pwani, kwa ajili ya ujenzi wa viwanda 200 vya kisasa ambapo TANESCO, kupitia Kampuni Tanzu ya ETDCO, tayari imekamilisha ujenzi wa njia ya…

Read More

Hizi hapa faida za Yoga kiafya

Yoga ni  zoezi maarufu duniani lililobuniwa na wahenga wa nchini India,  kiasi cha kulifanya kuwa zoezi la kitamaduni na hatimaye kuwa maarufu nchini humo na nje ya nchi. Mamilioni ya watu duniani hulifanya sehemu ya maisha yao kwa ajili ya kuboresha afya ya mwili kiujumla ikiwamo afya ya akili.  Hii ni kutokana kuhusisha utendaji wa…

Read More