Uraibu wa pombe tishio la ajira za vijana

Dar es Salaam. Wakati pombe ikitajwa kama moja ya vichocheo vya maradhi yasiyoambukiza, athari zake kwa baadhi ya waajiriwa ni kubwa, wakijikuta wanapoteza ajira. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, matumizi ya pombe kupita kiasi huathiri uwezo wa kufanya uamuzi, kupunguza umakini na kuharibu afya ya akili, hali inayoweza kutafsiriwa moja kwa moja kama tishio…

Read More

Wawili Simba watimkia Yanga | Mwanaspoti

YANGA Princess imekamilisha usajili wa wachezaji wawili kutoka Simba Queens wakiwa ni kiungo Ritticia Nabbosa na beki wa kushoto Wincate Kaari. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara (WPL) msimu uliopita na kwenye mechi 18 ilishinda 12, sare tatu na kupoteza tatu ikikusanya pointi 39. Mwanaspoti liliripoti mwezi…

Read More

Kipigo chawaliza mastaa Afrika ya Kati

KIPIGO cha mabao 2-0 kutoka kwa Madagascar katika mechi za CHAN 2024 kikiwa ni cha tatu mfululizo na kilichoing’oa timu hiyo katika fainali hizo za nane, kimewafanya baadhi ya wachezaji kumwaga machozi na kocha wa timu hiyo amefunguka sababu ya mastaa hao kulia uwanjani. Jana, Afrika ya Kati inayoshiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza…

Read More

Kilosa na mikakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia

Morogoro. Wilaya ya Kilosa mkoani hapa ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na uharibifu wa misitu unaochochewa na biashara ya kuni na mkaa. Nishati hiyo inayotumika kwa wingi katika kupikia, husafirishwa kutoka Kilosa kwenda kuuzwa katika miji na majiji mbalimbali nchini. Hivi karibuni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, akizungumzia  mikakati iliyowekwa kupunguza matumizi…

Read More

Mpina afichua kuhusu kuchoma nyavu alipokuwa waziri

Dar es Salaam. Mtiania wa urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema uamuzi wake wa kuchoma nyavu alipokuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, ulitokana na matakwa ya sheria na kwamba alizozichoma zote zilistahili kufanywa hivyo. Kauli hiyo ya Mpina inafafanua mitazamo ya wanasiasa mbalimbali ambao wamekuwa wakidai, hatua yake hiyo alipokuwa waziri ilihusisha uonevu dhidi…

Read More