Burkina Faso, Madagascar zavuka bahari

BAADA ya kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mauritania, kikosi cha Burkina Faso sambamba na Madagascar iliyoitambia Afrika ya Kati kwa mabao 2-0 zinavuka Bahari ya Hindi kwenda Zanzibar kwa ajili ya pambano la kufungia hesabu za Kundi B litakalopigwa kesho kwenye Uwanja wa Amaan. Kocha Mkuu wa Burkina Faso, Issa Balbone alisema kosa moja…

Read More

Mto wachepushwa ujenzi tuta la kufulia umeme Malagarasi

Dar es Salaam. Wakati ujenzi wa bwawa la kufua umeme kwa maji kupitia mto Malagarasi ukifikia asilimia 10, wajenzi wa mradi huo wamechepusha maji (kutengeneza njia ya maji) ili kuruhusu ujenzi wa tuta kuu litakalotumika katika ufuaji wa umeme wa megawati 49.5. Ujenzi wa mradi wa Malagarasi unatekelezwa na Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania…

Read More

MARIAN SCHOOLS MARATHON NI KESHO

Na Albert Thomas Kawogo  TAASISI ya Marian Schools Bagamoyo imeandaa mbio za marathon MARIAN SCHOOLS MARATHON 2025 zitakazofanyika Bagamoyo Ijumaa ya tar 15  Agosti     Msemaji wa Marian Schools Ohsana Mnalunde amesema mbio hizo zitaanzia kwenye kijiji cha Zinga Samakisamaki na kumalizikia kwenye hoteli ya Stella Maris Bagamoyo mjini.    Mnalunde amesema tayari zaidi ya…

Read More

Aliyeimba ‘No reforms, no election’ afariki dunia

Dar es Salaam. Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za mbalimbali za hamasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikiwemo ya ‘Tundu Lissu wapeleke mchakamchaka’, George Mwingira amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari. Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Kusini, Belle Ponera, Mwingira amefariki dunia Jumapili Agosti 10, 2025 maeneo…

Read More

Wafanyakazi Tanesco mfano matumizi nishati safi ya kupikia

Dar es Salaam. Katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange amesema wao kama shirika lazima wawe mfano wa kutumia nishati hiyo salama na muhimu katika kuokoa muda. Amesema shirika lilifanya utafiti na kubaini kuna vifaa vya kutumia umeme kama majiko janja ambayo yanaweza kupika chini…

Read More

SERIKALI YATOA UNAFUU WA USHURU WA FORODHA KWENYE MALIGHAFI KUUNGA MKONO SEKTA YA UZALISHAJI WA BIDHAA NCHINI.

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema serikali imeamua kutoa unafuu wa ushuru wa Forodha kwenye malighafi zinazoagizwa kutoka nje ya nchi ili kuwezesha viwanda vya ndani kuzalisha bidhaa kwa gharama nafuu na kushindana kwa bei na bidhaa kutoka nje. Meneja wa TRA Mkoa wa Arusha, Deogratius Shuma amesema hatua hiyo inalenga kuhakikisha bei za bidhaa…

Read More