Askari wanafunzi 10 kati ya 14 waliopata ajali kuendelea na matibabu Shule ya Polisi, Moshi

Hai. Askari wanafunzi 10 kati ya 14 wa Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi, mkoani Kilimanjaro waliopata ajali ya gari wameruhusiwa kuendelea na matibabu katika hospitali ya Polisi iliyopo shuleni hapo baada ya afya zao kuimarika. Wanafunzi (kuruta) wengine wanne wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Hai, mkoani hapa huku mmoja aliyepata rufaa …

Read More

Mkwawa Rally kuipamba Moro Jumamosi

Mji wa Morogoro na viunga vyake umeanza kupendeza juma hili kwa mbwembwe za magari maalumu ya mashindano ambayo yapo mahsusi kwa ajili ya mashindano ya mbio za magari ubingwa wa taifa yanayoanza Jummosi hii. Mkwawa Rally ndiyo jina la mashindano ambayo yanaanzishwa Agosti 16 na kumalizika Jumapili, Agosti 17. Klabu ya Mount Uluguru ndiyo waandaaji…

Read More

CEO Mbeya City aweka wazi maandalizi 2025/26

Wakati Mbeya City ikiingia rasmi kambini kesho Ijumaa huko Mwakaleli katika mji wa Tukuyu, wilayani Rungwe Mbeya, uongozi wa timu hiyo umesema umeridhishwa na maandalizi na kutamba kufanya vizuri msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupotea misimu miwili, imefichua kukamilisha usajili wa wachezaji 27 wakiwamo wa kimataifa.  Mtendaji…

Read More

MKURUGENZI WA ELIMU KWA MLIPAKODI TRA ATEMBELEA OFISI YA RC SIMIYU KUIMARISHA UHUSIANO MWEMA

Na Mwandishi wetu, Simiyu Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo ametembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu kwa lengo la kuimarisha uhusiano na kuomba ushirikiano zaidi katika kuhakikisha kuwa TRA inatimiza majukumu yake ya ukusanyaji mapato ya serikali. Akizungumza mara baada ya kumtembelea Mkuu wa…

Read More