Andrew Chamungu atua Namungo FC

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Songea United, Andrew Chamungu amekamilisha usajili wa kujiunga na Namungo, huku nyota huyo akipewa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwingine. Chamungu aliyewahi kutamba na timu mbalimbali zikiwamo za, Polisi Tanzania, Mbuni na Kitayosce ambayo kwa sasa ni Tabora United, amekamilisha dili hilo la kujiunga na kikosi hicho na sasa…

Read More

Yanga yavuta winga mpya | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikijipanga kumalizana na Singida Black Stars juu ya beki Frank Asink, kuna mwingine ameshatangulia kambi ya mabingwa hao akijifua na jana alitarajiwa kusafiri na chama hilo kwenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kirafiki na Rayon ya huko. Hiyo ni mosi, pili ni kwa kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Bara kimeondoka…

Read More

Kiungo Mguinea atua Misri kimyakimya

SIMBA ni kama ulivyosikia huko Misri imeshaanza kushusha dozi wakati ikitesti mitambo na habari mpya ni kuongezwa kwa kiungo mwingine ambaye kocha wa timu hiyo Fadlu Davids ameshushiwa kambini. Juzi, timu hiyo iliisulubu Kahraba Ismailia ya nchini humo kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki ambao chama hilo lilicheza ikiwa ni mara ya kwanza kukipiga…

Read More

MBODO AKUTANA NA POSTAMASTA WAKUU WASTAAFU KUBADILISHANA UZOEFU ILI KUIMARISHA POSTA

Postamasta Mkuu Bw. Macrice Mbodo, amekutana na Mapostamasta Wakuu Wastaafu katika kikao maalum kilicholenga kubadilishana uzoefu juu ya namna ya kuendelea kuboresha huduma za Posta nchini. Kikao hicho, kilichofanyika leo tarehe 13 Agosti, 2025 Makao Makuu ya Posta jijini Dar es Salaam, Bw. Mbodo amesisitiza umuhimu wa kuheshimu na kuenzi historia na mchango wa Viongozi…

Read More

Vigogo EAC, SADC wakutana kujadili amani DR Congo

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliyofanyika kwa njia ya mtandao leo Jumatano, Agosti 13, 2025 ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania…

Read More