Afrika ya Kati hali tete CHAN ikichapwa tena

TIMU ya Taifa ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imeendelea kugawa pointi za bure katika michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kukubali tena kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Madagascar. Katika mechi hiyo ya kundi B iliyopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Jamhuri ya Afrika ya…

Read More

Sh769.4 zilivyomaliza kero ya maji Sapiwi, Mwandama

Bariadi. Zaidi ya wakazi 6,865 wa vijiji vya Sapiwi na Mwandama katika halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu,wameondokana na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama baada ya mradi wa maji wa Sapiwi kukamilika. Mradi huo ambao umezinduliwa leo, Agosti 13,2025 wakati wa mbio za mwenge wa uhuru wilayani  hapa, umegharimu…

Read More

Yanga yaipiga bao tena Simba

Simba na Yanga buana! Timu hizo zenye mashabiki wengi nchini zimeendeleza bato ambalo aslani wana Msimbazi wasingependa kuliona au kulisikia. Wababe hao wa Ligi Kuu Bara hivi sasa wanapambana kuweka sawa vikosi ili wakaliamshe katika mashindano ya ndani na kimataifa msimu ujao. Lakini, wakati hilo likiendelea Shirikisho  la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira…

Read More

Kampeni chakula shuleni yazinduliwa | Mwananchi

Dodoma. Shirika lisilo la kiserikali la World Vision Tanzania (WVT) limezindua kampeni ya uhamasishaji jamii ambayo inalenga kuchangia chakula shuleni.Kampeni  hiyo imebuniwa kwa ajili ya kushawishi mahudhurio ya wanafunzi, kupunguza utoro na utapiamlo kwa watoto.Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Agosti 13, 2025 Mkurugenzi wa World Vision Tanzania, James Anditi amesema kupitia kampeni hiyo…

Read More