Mkakati kuwawezesha bodaboda Dar wazinduliwa

Dar es Salaam. Shirikisho la vyama vya waendesha bodaboda Dar es Salaam (Maupida), wameweka mikakati inayolenga kuinua maisha ya watoa huduma hao wa usafiri kupitia mikopo nafuu, uwezeshaji wa mitaji na miradi ya makazi. Mipango hiyo itakamilika baada ya kupatiwa cheti cha uwakala wa kukatisha leseni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhi (Latra) kwa…

Read More

Chadema yawafuta uanachama 12 kwa madai ya usaliti

Arusha. Wakati vyama mbalimbali nchini vikiendelea na michakato yake ya ndani kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Arusha Mjini, kimewafuta uanachama wanachama wake 12 wanaotuhumiwa kukisaliti chama hicho. Miongoni mwa waliokumbana na adhabu hiyo ni Amina Abubakar na Linus Agustino (hamasa/walinzi wa chama),…

Read More

Mashujaa yajificha ufukweni Dar | Mwanaspoti

UNAITAFUTA Mashujaa? Basi usiende viwanjani kwani jamaa wako zao ufukweni wakizianza hesabu za kujipanga kwa ajili ya msimu ujao. Wakiwa chini ya kocha mkongwe Salum Mayanga, Mashujaa wamekita kambi yao jijini Dar es Salaam, kujifua kwa mazoezi ya ufukweni. Mashujaa wanafanya tizi wakikimbia mbio tofauti na mazoezi mengine ya fiziki, wakiwa kwenye fukwe za Msasani….

Read More

Staa Nigeria aangua kilio chama likiaga

NAHODHA wa timu ya wachezaji wa ndani ya Nigeria, Junior Nduka ameshindwa kujizuia na kungua kilio baada ya timu yake kutolewa mapema kwenye michuano ya fainali za CHAN kufuatia kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Sudan. Mechi hiyo ya kundi D ilipigwa juzi, Jumanne ya  Agosti 12, 2025 kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Dakika chache…

Read More

Dimeji aiponda Nigeria, akikoshwa na Taifa Stars

MCHEZAJI wa zamani wa kimataifa wa Nigeria, Dimeji Lawal, ameonyesha kutoridhishwa kwake na kiwango cha Nigeria (Home-Based Eagles) baada ya kutolewa kwenye michuano ya CHAN huku akiipongeza Taifa Stars ya Tanzania. Nigeria ilikumbana na kipigo kizito cha mabao 4-0 kutoka kwa Sudan katika mechi yao ua pili ya  kundi D, iliyopigwa Jumanne. Kabla ya kipigo…

Read More

Afya kwa wote ya CCM yaibua mjadala wa wadau

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika ilani yake ya uchaguzi, kimeweka dira ya inayolenga kubadilisha mfumo wa afya wa Tanzania. Katika ilani hiyo, neno “afya” limetajwa mara 63 kama kiini cha mikakati ya kisera, kitaalamu na kimfumo. Mpango huu unagusa nyanja zote muhimu—kuanzia miundombinu, rasilimali watu, dawa na vifaa tiba, hadi mifumo ya…

Read More

Hatma ya Matangazo Mubashara Kesi ya Tundu Lissu Kujulikana Agosti 18 – Video – Global Publishers

Wakili wa utetezi, Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema bado haijajulikana iwapo kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, itarushwa moja kwa moja (mubashara) au la. Akizungumza baada ya kikao cha mahakama, Dkt. Nshala alifafanua kuwa uamuzi wa urushaji mubashara utabainika baada ya kikao kinachotarajiwa kufanyika Agosti…

Read More

UN ‘kushtushwa sana’ na shambulio kubwa kwa El Fasher iliyozingirwa – maswala ya ulimwengu

Shambulio la Jumatatu liliwaacha raia 40 wakiwa wamekufa na 19 kujeruhiwa ndani ya Abu Shoukkulingana na wenzi wa kibinadamu. Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) iliripoti kwamba vurugu mpya zililazimisha angalau wakazi 500 wa kambi hiyo kukimbilia sehemu zingine za Kaskazini mwa Darfur. Kaimu mratibu wa kibinadamu wa Sudan, Sheldon Yett, alilaani “mashambulio yote ya…

Read More