
Komba, wenzake wafungua kesi kupinga uchaguzi TFF
Wakili Alloyce Komba pamoja na wenzake watatu wamefungua kesi katika Mahakama Kuu wakipinga mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), unaotarajiwa kuhitimishwa Agosti 16, 2025 mjini Tanga. Walioshtakiwa katika kesi hiyo ni Baraza la Michezo la Taifa (BMT), TFF na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wakidai kuwa mchakato huo umeendeshwa kinyume cha…