Komba, wenzake wafungua kesi kupinga uchaguzi TFF

Wakili Alloyce Komba pamoja na wenzake watatu wamefungua kesi katika Mahakama Kuu wakipinga mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), unaotarajiwa kuhitimishwa Agosti 16, 2025 mjini Tanga. Walioshtakiwa katika kesi hiyo ni Baraza la Michezo la Taifa (BMT), TFF na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wakidai kuwa mchakato huo umeendeshwa kinyume cha…

Read More

Odero alalamika kuonewa, uongozi Chadema wamjibu

Dar es Salaam. Wakati Katibu wa Kamati ya Sheria na Haki za Binadamu wa Chadema, Kanda ya Kaskazini, Odero Charles akilalamikia kucheleweshwa kwa uamuzi wa tuhuma dhidi yake, uongozi wake umesema utakamilisha kazi hiyo ndani ya mwezi huu. Katika malalamiko yake, Odero amesema uongozi ukiendelea kukaa kimya ataamua kupambana na uonevu, ukandamizaji, udhalilishaji na ubaguzi…

Read More

Odero alalamikia kuonewa, uongozi wamjibu

Dar es Salaam. Wakati Katibu wa Kamati ya Sheria na Haki za Binadamu wa Chadema, Kanda ya Kaskazini, Odero Charles akilalamikia kucheleweshwa kwa uamuzi wa tuhuma dhidi yake, uongozi wake umesema utakamilisha kazi hiyo ndani ya mwezi huu. Katika malalamiko yake, Odero amesema uongozi ukiendelea kukaa kimya ataamua kupambana na uonevu, ukandamizaji, udhalilishaji na ubaguzi…

Read More

CHAN 2024: Faini zarindima CAF, Kenya yapewa onyo

KAMATI ya Nidhamu la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu nidhamu katika michuano ya CHAN inayoendelea na kutoa uamuzi kadhaa dhidi ya vyama vya soka vya Zambia, Kenya na Morocco. Katika kikao hicho Shirikisho la Soka Zambia (FAZ) lilipatikana na hatia ya kukiuka Kanuni za vyombo vya habari wakati wa mkutano…

Read More

Simulizi ya kukatwa mkono ilivyofufua ndoto ya Matonange

Mwanza. Usilolijua ni kama usiku wa giza. Ndivyo anavyoweza kusimulia tukio la kusikitisha kwa Mwigulu Matonange (21), kijana mwenye ualbino ambaye mwaka 2013 alinusurika kifo baada ya kukatwa mkono na watu wasiojulikana kwa imani za kishirikina. Wakati huo akiwa na umri wa miaka tisa, akisoma darasa la pili katika Kijiji cha Msia, Wilaya ya Sumbawanga,…

Read More

Mkulima wa pamba azawadiwa trekta

Morogoro. Mkazi wa kijiji cha Iputi, kata ya Mbuga wilayani Ulanga, Alifa Bushiri (57) ameibuka kuwa mkulima bora wa zao la pamba kwa kanda ya mashariki baada ya kuvuna kilo 2,723 kwa hekari moja msimu wa mwaka 2024/2025. Hatua hiyo imemuwezesha kujinyakulia zawadi ya trekta jipya lenye thamani ya Sh53 milioni kutoka Bodi ya Pamba…

Read More

Serikali yatangaza fursa za ajira 219

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imetangaza fursa za ajira kwa wataalamu wa kada mbalimbali huku wale wenye taaluma ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), wakihitajika zaidi ya wengine. Kwa mujibu wa tovuti ya sekretarieti ya ajira leo Jumatano Agosti 13, 2025, jumla ya wataalamu 219 wanahitajika kutoka kada 31, kati yao wa Tehama…

Read More

Morocco haitaki kurudia makosa CHAN 2024

KOCHA wa Morocco, Tarik Sektioui amesema makosa waliyoyafanya kwenye mechi iliyopita dhidi ya Kenya wanayafanyia kazi ili kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Zambia. Agosti 10, Morocco ilipoteza bao 1-0 dhidi ya Kenya, ikiwa ni mchezo wao wa pili kwenye Kundi A. Mechi ya kwanza walishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya Angola, na kuwafanya Waarabu hao…

Read More