Tano tayari, hao Tausi wabayaa

LIGI ya kikapu Dar es Salaam inaendelea kunoga huku timu zilizotinga hatua ya robo fainali zikianza kujulikana na unaambiwa mambo ya kubaniana ‘press’ kwa timu kwa timu, ubora na yale maokoto ya nje ya uwanja yalitawala msimu huu hadi sasa. Ligi ya msimu huu inatajwa ni bora zaidi na hadi sasa tayari timu tano zimeshatinga…

Read More

Yanga yaifuata Rayon, kocha akimwaga nondo

NYOTA 24 wa kikosi cha Yanga wamepaa leo kuifuata Rayon Sports ya Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Romain Folz akiitaja safu ya ushambuliaji. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Yanga kimeiambia Mwanaspoti kuwa kikosi cha Yanga mara baada ya kutua nchini Rwanda kitafikia…

Read More

Rushwa, umri mkubwa vyakatisha tamaa vijana kuwania uongozi

Butiama. Baadhi ya vijana katika Mkoa wa Mara wameeleza kuwa ukosefu wa fursa za kugombea nafasi za uongozi wa kisiasa ni miongoni mwa sababu zinazowakwamisha vijana wengi kushiriki katika upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali. Wamesema mara nyingi nafasi za uongozi wa kisiasa hupewa watu wenye umri mkubwa (wazee) au wale waliokaa madarakani kwa muda mrefu,…

Read More

CRDB Al Barakah Sukuk kuwezesha biashara bila riba

Dar es Salaam: Benki ya CRDB hivi karibuni ilizindua ‘CRDB Al Barakah Sukuk,’ hatifungani inayokusanya fedha ili kuwezesha biashara bila riba nchini na ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla. Hatifungani hiyo inayofuata misingi ya Kiislamu, inakusudia kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 30 pamoja na dola za Marekani milioni 5 huku kukiwa na uwezekano wa kuongeza…

Read More

Jeuri ya pesa, Fei akiamua hatima yake

JEURI ya pesa! Hivyo ndivyo unaweza kusema baada ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye ameshafanya uamuzi wa wapi atakipiga msimu ujao na kinachoelezwa ni kwamba fedha imeongea zaidi. Mchezaji huyo amekuwa akitakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya nchi ikiwamo Simba na Yanga kwa hapa nchini na pia…

Read More

Tani 30 za dawa za kulevya kwa jina la mbolea zanaswa

Dar es Salaam. Tani 18.5 za shehena ya dawa mpya za kulevya aina ya Mitragyna Speciosa zimekamatwa zikiwa zimeingizwa nchini Tanzania kama mbolea kwa ajili ya bustani za mbogamboga na maua. Dawa hizo, zilizokuwa zimefungashwa kwenye mifuko 756 ndani ya kontena la futi 40, ziliingizwa Tanzania kwa ajili ya kufungashwa upya na kutafutiwa soko la…

Read More