
KAMISHNA BADRU AKAGUA UENDELEZAJI WA ENEO LA MSOMERA.
Na Mwandishi wetu. Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Abdul-razaq Badru ametembea kijiji cha Msomera kilichopo wilayani Handeni Mkoani Tanga kujionea uendelezaji wa eneo hilo ambalo linatumika kwa ajili ya kuwamishia wananchi tarafa ya Ngorongoro wanaojiandikisha kuhama kwa hiari. Akiwa na mwenyeji wake mkuu wa wilaya ya Handeni mhe. Salum Nyamwese,kamishna…