DP WAIBUKA NA SERA YA KUBORESHA KANUNI ZA KIKOKOTOO ENDAPO WATAPATA RIDHAA YA KUONGOZA NCHI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MGOMBEA Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Siasa cha Democratic Party (DP),Abdul Mluya,amesema endapo chama hicho kitapata nafasi ya kuongoza Nchi moja ya kipaumbele chao ni kwenda kusimamia suala la Kikokotoo. Mluya ambaye aliambatana na mgombea mwenza Saodun Abraham Khatibu ameyazungumza hayo mbele ya waandishi wa habari mara baada ya…

Read More

Parachichi yawaponza kijana, mwenyekiti watiwa mbaroni

Njombe. Jeshi la Polisi mkoani Njombe linawashikilia watuhumiwa watatu, akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji, kwa tuhuma za kumshambulia kwa kipigo kijana Ackrey Ngole (26), mkazi wa mtaa wa Maheve katika Halmashauri ya Mji wa Njombe, wakimtuhumu kuiba matunda ya parachichi. Taarifa hiyo imetolewa jana jioni, Agosti 12, 2025, na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe,…

Read More

Fahamu ni ipi nishati safi ya kupikia

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Mwongozo wa Benki ya Dunia kuhusu Nishati Safi ya Kupikia (World Bank Multi-Tier Framework – MTF, 2020) Nishati safi ya kupikia hupimwa kwa kuzingatia ufanisi, urahisi wa kutumia, upatikanaji, usalama, unafuu wa gharama na kiwango kidogo cha sumu kinachotolewa wakati wa matumizi. Lengo kuu ni kuhakikisha nishati hiyo inakuwa…

Read More

Ulimwengu una vifaa vya kumaliza shida ya Haiti – ni wakati wa kuzitumia – maswala ya ulimwengu

“Mara nyingi ninahisi kuwa siwezi kupata maneno tena kuelezea hali hiyo. Je! Inatisha, ni kali, ni ya haraka? Yote ni hayo na hata zaidi. “ Maneno aliyoishi mwishowe yalikuwa “ya kutisha sana.” Haiti kwa sasa inakabiliwa na shida ya kibinadamu na inayozidi kuongezeka-na vurugu za genge zinaongezeka zaidi ya mji mkuu wa Port-au-Prince, raia wanazidi…

Read More

Vitisho na hatari kabla ya uchaguzi

Kwa kawaida kipindi cha uchaguzi huonekana kama fursa ya wananchi kuamua kina nani wataongoza nchi na kuwa wawakilishi wao katika vyombo vya kutunga sheria na mabaraza ya utawala. Hata hivyo, hali ni tofauti kwa Zanzibar, ambako kila unapokaribia uchaguzi na baada ya kutangazwa matokeo, hewa ya wasiwasi na taharuki hutanda. Sababu kuu ya hali hii…

Read More