Wino wa furaha, maumivu ya siku 22,827 za Ndugai duniani

Maisha ya binadamu ni hadithi. Matendo ya uhai ni wino. Kadiri unavyoishi ndivyo unavyoandika simulizi yako. Idadi ya kurasa, hutegemea umri, vilevile wingi wa matendo. Wapo walioishi umri mdogo, wakajaza kurasa mamia, vivyo hivyo kinyume chake. Job Yustino Ndugai, kuanzia kuzaliwa kwake, Januari 21, 1963 mpaka alipokata kauli, Agosti 6, 2025, ni miaka 62, miezi…

Read More

KIMARO AGUSWA HARAMBEE YA CCM,ACHANGIA MILIONI 20.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfanyabiashara maarufu jijini Arusha,Ndugu Nathan Kimaro ametoa kiasi cha shilingi milioni 20 kama sehemu ya mchango wake wa kusaidia kampeni za uchaguzi wa wagombea wa Urais wa chama hicho Oktoba,2025. Kimaro mbali ya kuchangia lakini pia alikuwepo ukumbini hapo jana Agosti 12,2025, kushuhudia ‘LIVE’ hafla hiyo ya Harambee…

Read More

Hofu ya uchaguzi inaashiria kitu gani

Hakuna asiyeijua homa. Kupanda kwa homa kunaambatana na athari kadhaa mwilini: Joto la mwili litaongezeka, atatapika au hata na kuharisha. Kichwa kitamgonga na atapatwa na athari nyingine chungu nzima kulingana na mgonjwa mwenyewe. Mwili utakuwa na maumivu kiasi cha kushindwa kufanya kazi kama ipasavyo. Joto la mwili linapanda kama kiazi kilichochemshwa jikoni. Kuna nyakati nilizowahi…

Read More

22 wakwama mgodini, watatu waokolewa

Shinyanga. Watu 22 ambao ni wafanyakazi na mafundi mgodini wamefukiwa kwenye mashimo baada ya kutitia wakati wakifanya ukarabati na watatu miongoni mwao wameokolewa. Chifu Inspekta wa kikundi cha wachapakazi Gold Mine, Fikiri Mnwagi ambao ni wamiliki wa mgodi huo, amesema kuwa maduara hayo matatu yalikuwa katika ukarabati hali iliyopelekea ardhi ya eneo hilo kutitia na…

Read More

Lissu alivyojipanga kutema nyongo leo kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini leo tena Jumatano, Agosti 13, 2025anapanda kizimbani, katika hatua ambayo Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) anatarajiwa kuweka wazi ushahidi atakaoutumia kwenye kesi hiyo, kama ataipeleka Mahakama Kuu. Kwa upande wake, Lissu anatarajiwa kuanza kujibu mapigo kwa kutema nyongo…

Read More